Majaliwa atoa maagizo Saba TCAA

DAR ES SALAAM: WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa maelekezo saba kwa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) ikiwemo Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) kufanya marejeo ya viwango vya mikopo vinavyotolewa kwa wanafunzi wa urubani na kutoa kipaumbele kwa wahitaji wa fani za masuala ya usafiri wa anga
Pia, ameiagiza TCAA kuimarisha mifumo ya udhibiti wa matumizi mabaya ya viwanja vya ndege na kuhakikisha haviwi uchochoro wa kupitisha bidhaa haramu.
Waziri Mkuu ametoa maagizo hayo leo katika maadhimisho ya miaka 20 tangu kuanzishwa kwa TCAA katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam.
Katika maagizo hayo Majaliwa pia amewataka wadau wote wa usafiri wa anga nchini kuteketeza majukumu yao kwa kufuata sheria, kanuni, taratibu na miongozo mbali mbali inayosimamia masuala ya usafiri wa anga Kitaifa, Kikanda na Kimataifa kwa ajili ya kuhakikisha usalama ni kipaumbele namba moja.
Maagizo mengine aliyotoa ni kwa watendaji wa Mamlaka kufanya kazi kwa weledi na ubunifu ili kumudu soko la ushindani katika utoaji huduma za anga.
“Jifunzeni kutoka Mataifa yaliyofanikiwa zaidi ili kuongeza viwango vyetu vya kutoa huduma.” Amesema Majaliwa.
Pia, ameiagiza TCAA ibuni na kuongeza vyanzo vipya vya mapato ya Aviation Training Fund ili kuongeza idadi ya marubani wanaopata ufadhili wa masomo.
Aidha, amewataka watanzania kuendelea kuviamini na kutumia vyuo vilivyopo nchini vinavyotoa mafunzo ya utaratibu wa masuala ya anga.
“Vyuo vyetu vina uwezo mkubwa na vinaaminika barani Afrika, vitumieni na mviamini.” Amesisitiza.
Amesema, serikali imesimika mitambo ya kuongoza ndege katika viwanja vya Kimataifa vya Amani Abeid Karume Zanzibar na Julius Nyerere Dar es Salaam kwa ajili ya kuhakikisha ndege zinaruka na kutua kwa usalama.
“Serikali imepanga kuhimarisha sekta ya anga kwa kuwezesha ununuzi wa rada nne za kuongoza ndege za Kiraia, rada hizo tayari zimefungwa kwenye viwanja vinne vya mikoa ya Dar es Salaam, Kilimanjaro, Mwanza na Songwe. ” Amesema Majaliwa
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
I’m making $90 an hour working from home. I never imagined that it was honest to goodness yet my closest companion is earning 16,000 US dollars a month by working on the connection, that was truly astounding for me, she prescribed for me to attempt it simply. Everybody must try this job now by just using this website…
More infor…. http://Www.Smartwork1.Com
Ulikuwa na Mradi/Project ya Matrilioni wakati Sumu ya panya shilingi 500
UNAKARIBISHWA KWENYE UJENZI WA JIJI BILA VITU VIFUATAVYO KUWEPO (ZINAHITAJI WATU WENGI SANA AMBAO HAWAPO DUNIANI):-
– POLISI
– BAR
– LODGE/HOTEL
– CASINO
– KANISA
– MSIKITI
– SOKO/SHOPPING MALLS
– SHULE
– HOSPITALI
– BARABARA ZA MTAA
– VYUO
– FEMU ZA DUKA
– Makapuni ya Mtandao wa SIMU/BENKI
KWA JINA LA BABA NA LA MWANA NA LA ROHO MTAKATIFU
BWANA YESU ASIFIWE
P – STAND FOT PROPERTY
L – STAND FOR LAND
Ulikuwa na Mradi/Project ya Matrilioni wakati Sumu ya panya shilingi 500
UNAKARIBISHWA KWENYE UJENZI WA JIJI BILA VITU VIFUATAVYO KUWEPO (ZINAHITAJI WATU WENGI SANA AMBAO HAWAPO DUNIANI):-
– POLISI
– BAR
– LODGE/HOTEL
– CASINO
– KANISA
– MSIKITI
– SOKO/SHOPPING MALLS
– SHULE
– HOSPITALI
– BARABARA ZA MTAA
– VYUO
– FEMU ZA DUKA
– Makapuni ya Mtandao wa SIMU/BENKI
KWA JINA LA BABA NA LA MWANA NA LA ROHO MTAKATIFU
BWANA YESU ASIFIWE
P – STAND FOT PROPERTY
L – STAND FOR LAND….
HOME-BASED real Earner.I am just working on Facebook only 3 to 4 hours a Day and earning $47786 a month easily, that is handsome earning to meet my extra expenses and that is really life changing opportunity.(Qf) Let me give you a little insight into what I do…
FOR More Details……….. >> http://Www.Smartcareer1.com