Majaliwa awapa 5 Tume ya Madini

DAR ES SALAAM: WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Tume ya Madini ipo thabiti katika kuhakikisha taifa linafaidika na rasilimali ya madini.
Amesema hayo leo, alipotembelea banda la Tume ya Madini kwenye Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini unaotamatishwa leo Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam.
“Tuna imani kubwa na hatuna mashaka na utendaji wenu kama taasisi kwenye usimamizi wa sekta ya madini hasa katika kuhakikisha Watanzania wananufaika,’”amesema Waziri Mkuu .
Awali akitoa maelezo kwa Waziri Mkuu, Ofisa Biashara wa Tume ya Madini Issa Lunda ameelezea mikakati ya serikali katika kuhakikisha Watanzania wananufaika katika sekta ya madini kupitia ushirikishwaji wa Watanzania katika sekta hiyo na huduma zinazotolewa na maabara ya Tume ya Madini .
Pia mesema kumekuwepo na mwitikio mkubwa wa Watanzania kwenye utoaji wa huduma kwenye migodi ya madini kutokana na elimu ambayo imekuwa ikitolewa mara kwa mara na tume.
I’m making over $7k a month working component time. I saved hearing other people inform me how lots cash they could make online so I decided to look at it. Well, it turned into all proper and has definitely modified my life.
.
.
Detail Here————————————————————–>>> http://Www.BizWork1.Com
Surprising! I’ve been making 100 Dollars an hour since I started freelance on the Internet six months ago. I work long hours a day from home and do the basic work that I get from the business I met online. share this work for you opportunity This is definitely the best job I have ever done………
…
…
…Go To This Link…………… > > > > http://Www.Smartcareer1.com
Google pay 390$ reliably my last paycheck was $55000 working 10 hours out of consistently on the web. My increasingly youthful kinfolk mate has been averaging 20k all through continuous months and he works around 24 hours reliably. I can’t trust how direct it was once I attempted it out. This is my essential concern…:) GOOD LUCK
For more info visit……… http://Www.CareersHome.online
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
Familia ya bwana MAPIGANO/KUTOKUZIKWA YATANGANZA VITA NA NCHI YA RWANDA YA KUBOMOA DARAJA LA MTO KAGERA PALE RUSUMO KWA KUTUMIA MABOMU YA KUTENGWA KWA MKONO KWA SIKU 5 LENGO NI KUUWA BIASHARA KATI YA TANZANIA NA RWANDA