Majaliwa: Mapato robo ya kwanza Sh tri.9.6

KATIKA kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka 2023/2024, mapato kutoka vyanzo vyote vya ndani na nje yalifikia Sh trilioni 9.06, sawa na asilimia 89.6 ya lengo la kipindi hicho, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema.

Akizungumza leo Novembea 10, 2023 katika hotuba ya kuahirisha shughuli za bunge Mkutano wa 13, Kikao cha 10 cha Bunge, Majaliwa amezielekeza Mamlaka za Serikali za Mitaa kuendelea kuboresha mifumo ya ukusanyaji wa mapato na kuimarisha mifumo ya udhibiti wa ndani ili kuondoa mianya ya uvujaji wa mapato.

“Aidha, niwasihi watumishi wote waliopewa dhamana hiyo kutekeleza jukumu hilo kwa uadilifu na kuendelea kutoa elimu ya mlipakodi ili kufanikisha ulipaji wa kodi kwa hiyari.” Amesema Majaliwa.

Majaliwa amewapongeza watumishi wa taasisi zenye dhamana na ukusanyaji wa mapato zikiwemo Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa kufanikisha ukusanyaji huo.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
2 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
MeghanJame
MeghanJame
24 days ago

Making extra salary every month from house more than $15,000 just by doing simple copy and paste like online job. I have received $18,000 from this easy home job. Everybody can now makes extra cash online easily.
.
.
Details Here——————————————————>>>  http://Www.BizWork1.Com

Angila
Angila
24 days ago

I get paid over $87 per hour working from home with (Qz)2 kids at home. I never thought I’d be able to do it but my best friend earns over 10k a month doing this and she convinced me to try. The potential with this is endless. 
.
.
.
.
Here’s what I’ve been doing…> > > http://remarkableincome09.blogspot.com

Back to top button
2
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x