Majina ya walioteuliwa CCM yanatangazwa
DODOMA; KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapoinduzi (CCM), Amos Makalla, muda huu anatangaza majina ya wana CCM waliopitishwa kuwania nafasi za ubunge kwenye mchakato ndani ya chama hicho.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed