Makamu wa rais Ghana kugombea urais

CHAMA tawala cha New Patriotic Party (NPP) kutoka nchini Ghana kimemteua Makamu wa Rais, Mahamudu Bawumia kuwa mgombea wa uchaguzi wa urais wa utakaofanyika Disemba 2024, kikiandaa kinyang’anyiro na rais wa zamani John Mahama.
Mahamudu Bawumia, 60, ni mwanauchumi na aliwahi kuwa kamanda wa pili wa sera za kiuchumi katika kipindi chote cha urais wa Nana Addo Akufo-Addo anayetazamiwa kuachia ngazi Januari 2025 baada ya kutumikia nafasi yake kwa miaka minane.
Kiongozi huyo alipata asilimia 61 ya kura zilizopigwa katika hatua ya pili ya mchujo. Katika hotuba yake, Bawumia aliahidi kujenga upya uchumi uliokumbwa na mgogoro iwapo atachaguliwa kuwa rais.
“Nataka kuongoza taifa linaloboresha na kuibua vipaji vya vijana wetu na kutoa ajira nzuri zenye malipo mazuri na ukuaji endelevu wenye nidhamu ya uchumi mkuu.” alisema.
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
I’ve made 64,000 USD so far this year working online and I’m a full time student. I’m using an online business opportunity I heard about and I’ve made such great money. It’s really user friendly and I’m just so happy that I found out about it.
.
.
Detail Here—————————————————————–>>> http://Www.BizWork1.Com
I started earning $350/hour in my free time by completing tasks with my laptop that i got from this company I stumbled upon online…Check it out, and start earning yourself . For More Info Visit Any Tab
.
.
This Site Thanks a Lot Here…….. > > > http://Www.Smartcareer1.com