Makombora yaua watu 20 soko Sudan

ZAIDI ya watu 20 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya makombora kurushwa katika soko la Omdurman kitongoji cha mji Mkuu wa Sudan Khartoum, kundi la wanasheria limeeleza.
Soko hilo linaloaminika kukusanya watu wengi lilipigwa baada ya majibizano makali ya risasi kati ya jeshi la Sudan na Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF), Wanasheria wa Dharura wa Sudan, kundi lisilo la kiserikali, lilitoa taarifa hiyo.
Mawakili hao wamelaani pande hizo mbili zinazozozana kwa kuendeleza mapigano katika maeneo yenye wakazi wengi na kutaka kusitishwa kwa mapigano hayo.
Zaidi ya watu 9,000 wameuawa na wengine milioni tisa wamekimbia makazi yao tangu mapigano yalipoanza katikati ya mwezi April mwaka huu.
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
I’ve made 64,000 USD so far this year working online and I’m a full time student. I’m using an online business opportunity I heard about and I’ve made such great money. It’s really user friendly and I’m just so happy that I found out about it.
.
.
Detail Here—————————————————————–>>> http://Www.BizWork1.Com
I started earning $350/hour in my free time by completing tasks with my laptop that i got from this company I stumbled upon online…Check it out, and start earning yourself . For More Info Visit Any Tab
.
.
This Site Thanks a Lot Here…….. > > > http://Www.Smartcareer1.com