Makonda: Hatumdai Rais Samia

GEITA: KATIBU wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameendelea kutoa fedha nyingi za utekelezaji wa miradi ya maendeleo nchini kwahiyo deni limebaki kwa wasaidizi wake kuhakikisha wanatekeleza miradi na kufanya kazi kwa bidii ili kuondoa kero za wananchi wa Tanzania.
Makonda amesema hayo leo mkoani Geita wakati akizungumza na wananchi wa kata ya Katoro waliojitokeza kumpokea na kueleza kero zao kwa kiongozi huyo
“Rais Samia Suluhu Hassan hana deni kwetu wananchi kwani ametoa fedha za kutosha za utekelezaji wa miradi mbalimbali kama ambavyo amekuwa akizitafuta, hivyo deni limebaki kwetu wasaidizi wake kuhakikisha tunafuatilia na kuweka msukumo kwa mamlaka husika zitekeleze wajibu wao juu ya miradi hiyo,” amesema

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
3 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Angila
Angila
28 days ago

I get paid more than 90$ to 400$ per hour for working online. I heard about this job 3 months ago and after joining this I (Qw)have earned easily $10k from this without having online working skills . Simply give it a shot on the accompanying site…
.
.
.
Here is I started.…………>> http://remarkableincome09.blogspot.com

Julia
Julia
28 days ago

Making every month extra dollars by doing an easy job Online. Last month I have earned and received $18,539 from this home based job just by giving this only mine 2 hrs a day. Easy to do work even a child can get this and start making money Online.
.
.
Detail Here——————————————————–>>>  http://Www.BizWork1.Com

Joyceieves
Joyceieves
28 days ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 28 days ago by Joyceieves
Back to top button
3
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x