Mama wa Luiz Diaz apatikana

TAARIFA zinaeleza mama mzazi wa mchezaji wa Liverpool, Luis Diaz anayejulikana kwa jina la Cilenis Marulanda amepatikana akiwa hai baada ya taarifa za kutekwa jana.
–
Ripoti kutoka vyanzo mbalimbali jana vililipoti kuwa baba na mama wa mchezaji huyo walitekwa huko Colombia.
–
Taarifa ya mwandishi wa habari, Fabrizio Romano imeeleza kuwa polisi wanaendelea kumtafuta baba wa mchezaji huyo.
#LIVERPOOL #Diaz
Making additional money each month by performing a simple online task. Just by dedicating two hours a day to my home-based profession, I was able to earn and get $18,539 last month. Simple enough that even a youngster may learn how to do it and begin earning money online.
.
.
Detail Here———————————————————————–>>> http://Www.BizWork1.Com
UNAKARIBISHWA KWENYE UJENZI WA JIJI BILA VITU VIFUATAVYO KUWEPO (ZINAHITAJI WATU WENGI SANA AMBAO HAWAPO DUNIANI):-
– POLISI
– BAR
– LODGE/HOTEL
– CASINO
– KANISA
– MSIKITI
– SOKO/SHOPPING MALLS
– SHULE
– HOSPITALI
– BARABARA ZA MTAA
– VYUO
– FEMU ZA DUKA
– Makapuni ya Mtandao wa SIMU/BENKI
KWA JINA LA BABA NA LA MWANA NA LA ROHO MTAKATIFU
BWANA YESU ASIFIWE