Mama wa Luiz Diaz apatikana

TAARIFA zinaeleza mama mzazi wa mchezaji wa Liverpool, Luis Diaz anayejulikana kwa jina la Cilenis Marulanda amepatikana akiwa hai baada ya taarifa za kutekwa jana.

Ripoti kutoka vyanzo mbalimbali jana vililipoti kuwa baba na mama wa mchezaji huyo walitekwa huko Colombia.

Taarifa ya mwandishi wa habari, Fabrizio Romano imeeleza kuwa polisi wanaendelea kumtafuta baba wa mchezaji huyo.

#LIVERPOOL #Diaz

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
2 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Www.BizWork1.Com
1 month ago

Making additional money each month by performing a simple online task. Just by dedicating two hours a day to my home-based profession, I was able to earn and get $18,539 last month. Simple enough that even a youngster may learn how to do it and begin earning money online.
.
.
Detail Here———————————————————————–>>>  http://Www.BizWork1.Com

POLISI
POLISI
1 month ago

UNAKARIBISHWA KWENYE UJENZI WA JIJI BILA VITU VIFUATAVYO KUWEPO (ZINAHITAJI WATU WENGI SANA AMBAO HAWAPO DUNIANI):-
–       POLISI
–       BAR
–       LODGE/HOTEL
–       CASINO
–       KANISA
–       MSIKITI
–       SOKO/SHOPPING MALLS
–       SHULE
–       HOSPITALI
–       BARABARA ZA MTAA
–       VYUO
–       FEMU ZA DUKA
–       Makapuni ya Mtandao wa SIMU/BENKI

KWA JINA LA BABA NA LA MWANA NA LA ROHO MTAKATIFU

BWANA YESU ASIFIWE

Capture.JPG
Back to top button
2
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x