Mane kufanyiwa vipimo leo

MSHAMBULIAJI Sadio Mane anatarajia kufanyiwa vipimo vya afya leo kabla ya kusaini mkataba wa kuitumikia klabu ya Al-Nassr akitokea Bayern Munchen.

Kwa mujibu wa mtandao wa Sky Sport, Mane atakamilisha uhamisho wake kwa dau la pauni milioni £24m.

Mane ataungana na mshambuliaji Cristiano Ronaldo ambaye pia anaitumikia timu hiyo.

Advertisement

 

3 comments

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *