Mapumziko: Simba 0-1 Al-Ahly

DAKIKA 45 za kipindi cha kwanza mchezo wa African Football League umemalizika uwanja wa Mkapa, mpaka sasa Simba iko nyuma kwa bao 1-0.

Bao la Al-Ahly limefungwa na Reda Slim dakika za mwishoni za kipindi cha kwanza.

Mchezo huo utarejea baada ya mapumziko.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button