‘Marufuku bodaboda kubeba mishikaki Arusha’

MKUU wa Wilaya ya Arusha, Said Mtanda amepiga marufuku tabia ya waendesha  bodaboda kubeba wanafunzi zaidi zaidi ya mmoja katika pikipiki moja

Mtanda ametoa agizo hilo leo, mara baada ya kuona watoto hao wakiwa wamepakizwa watano kwenye pikipiki moja, upakizaji ambao ni maarufu kwa jina la mishikaki.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
0 Comments
Inline Feedbacks
View all comments
Back to top button
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x