Mashabiki wa Simba Mtegu waanza kutamba

USAJILI uliofanywa na Simba SC kwa kuwachukua wachezaji 10, huku ikimrudisha winga Luis Miquissone umeanza kuwapa jeuri baadhi ya mashabiki wa timu hiyo kuekea msimu mpya wa ligi.

Mashabiki wa wapenzi wa timu hiyo kutoka kijiji cha Mtegu Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara wamesema msimu huu wanamatumaini makubwa na timu yao kufanya vizuri kwa kuwa imefanya usajili wa uhakika wa kuwapata wachezaji bora na wenye viwango vya hali ya juu.

Akizungumza wiki hii wakati wa uzinduzi wa tawi la timu hiyo katika eneo hilo hapo mwenyekiti wa tawi hilo, Ismaili Mkweche amesema tawi hilo lina wanachama 288 na limefunguliwa kupitia michango mbalimbali kutoka kwa wanachama hao.

Amesema kutokana na kiu kubwa waliyokuwa nayo wanachama wa timu hiyo kijijini hapo ya kupata tawi lao hivyo walichangishana na kufanikiwa kukusanya zaidi ya Sh milioni 3.

Shabiki wa timu hiyo kijijini hapo Zakia Selemani amesema: “Naipenda sana timu yangu ya simba na napenda kuwatia hamasa watu wote popote pale walipo waje kushabikia tawi la mtegu hata wale wasiyokuwa mashabiki wa Simba.”

Msemaji wa matawi ya simba Kanda ya Kusini, Zuberi Mohamedi amesema wana imani na timu yao na katika kipindi hiki (Simba Day) watatembelea tawi hadi tawi kwenye maeneo mbalimbali mkoani humo.

Amesema uzinduzi huo ni hatua ya awali na kwenye wiki hiyo watafanya shughuli mbalimbali za kijamii ikiwemo uchangiaji wa damu na wanatarajia kuzindua matawi manne ndani ya wiki hiyo.

Uzinduzi huo umefanywa na Mwenyekiti wa simba kanda ya kusini Baraka Namkutanga ambapo amewapongeza mashabiki hao kwa uwamuzi waliyochukua kuanzisha tawi hilo.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
6 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
wewox31191
wewox31191
2 months ago

My neighbor’s sister makes $95 reliably on the workstation. She has beenwithout an occupation for a half year in any case multi month back her part was$30000 essentially dealing with the PC for two or three hours. Go to this siteand read more.
Now Here —> http://www.join.salary49.com

Kelly C. Maury
Kelly C. Maury
Reply to  wewox31191
2 months ago

honest online career from home Earns upto $ 550 to $ 750 doller by way of work is simple on web. i have made $ 28K only month via chipping away on internet. Its right way and easy home work maybe a piece adolescent can complete this movement on web and benefits. all of you can arrive this function now and start getting on internet throughbasically open this association and some time later ordeal bearings to start
.
.
HERE☛ ☛ ☛ ☛ https://Fastinccome.blogspot.com/

Last edited 2 months ago by Kelly C. Maury
JessicaAnderson
JessicaAnderson
2 months ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://webonline76.blogspot.com/

Last edited 2 months ago by JessicaAnderson
Jessica Newman
Jessica Newman
2 months ago

I earn 200 dollars per hour working from home on an online job. I never thought I could accomplish it, but my best friend makes $10,000 per month doing this profession and that I learn more about it.

Here’s how she did it…………….. https://Workathomee33.blogspot.Com
 

Last edited 2 months ago by Jessica Newman
Lersenna
Lersenna
2 months ago

>>> Welcome to the best sex dating site — https://ok.me/wqPA1

Julia
Julia
2 months ago

Working part-time and making an extra $15,000 or more online is a simple and quick method to gain money. I earned $17,000 in the previous month by working in my spare time, and I am really happy now as a result of this job.
.
.
Detail Here—————————————————————>>>  http://Www.OnlineCash1.Com

Back to top button
6
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x