Mashirika ya umma kuimarika sheria ya ununuzi

SERIKALI leo Septemba 7, 2023 imewasilisha bungeni Muswada wa Sheria ya Ununuzi wa Umma wa mwaka 2023, huku ikiainisha matokeo mbalimbali kutokana na kutungwa kwa sheria hiyo.

Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba ametaja matokeo hayo ni pamoja na kuimarika kwa mazingira ya ununuzi na ugavi kwa taasisi na mashirika ya umma yanayojiendesha kibiashara.

Ametaja matokeo mengine kuwa ni kujumuisha katika mnyororo wa ugavi masuala ya ununuzi, ugavi na uondoshwaji wa mali kwa njia ya zabuni ili kupata thamani halisi ya 3 fedha zinazotumika kupitia ununuzi na utekelezaji wa miradi ya Serikali.

“Kuimarika kwa usimamizi wa mikataba ya ununuzi, kuongeza ufanisi katika mnyororo wa ugavi kupitia matumizi ya mfumo wa ununuzi kwa njia ya kielektroniki kwenye ununuzi, ugavi na uondoshwaji wa mali kwa njia ya zabuni.

“Kuweka masharti ya bei kikomo kwa baadhi ya bidhaa na huduma katika ununuzi wa umma na hivyo kudhibiti gharama, kuongezeka kwa ufanisi katika utekelezaji wa miradi kwa utaratibu wa force account, kupunguza urasimu katika uidhinishaji wa zabuni hivyo kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa shughuli za mnyororo wa ugavi; na kufuta Sheria ya Ununuzi wa Umma, Na. 7 ya mwaka 2011,” amesema Waziri wa Fedha.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
5 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
duu tulikufa hivi ndivyo tulivyokuwa
duu tulikufa hivi ndivyo tulivyokuwa
13 days ago

Ramani ya Nyumba itakayojengwa kwenye makaburi ya kwetu sehemu iliyobaki sq 45 ya watarajiwa“duu tulikufa hivi ndivyo tulivyokuwa Tunajua” matofari 2000, bati 15, sumenti 76, mbao 200, gharama ya fundi 6,000,000

Capture.JPG
duu tulikufa hivi ndivyo tulivyokuwa
duu tulikufa hivi ndivyo tulivyokuwa
13 days ago

Ramani ya Nyumba itakayojengwa kwenye makaburi ya kwetu sehemu iliyobaki sq 45 ya watarajiwa“duu tulikufa hivi ndivyo tulivyokuwa Tunajua” matofari 2000, bati 15, sumenti 76, mbao 200, gharama ya fundi 6,000,000, sligbod kuondoa KELELE 4563

Capture.JPG
Lindaehrson
Lindaehrson
13 days ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://earncash82.blogspot.com/

Last edited 13 days ago by Lindaehrson
HeavenMeadow
HeavenMeadow
13 days ago

I get paid more than $120 to $130 per hour for working online. (6d7) I heard about this job 3 months ago and after joining this i have earned easily $15k from this without having online working skills.

Go here for info==========>> http://www.SmartCareer1.com

TICK ZA KUTOLEA UCHAFU
TICK ZA KUTOLEA UCHAFU
13 days ago

Utafiti Unaonyesha Miaka 2003 Mwanaume wa Kwanza alipatikana akiwa na Mboo size ya STICK ZA KUTOLEA UCHAFU KWENYE MENO… cHINI YA MASHINE NA KIBAMIA

Penis: 20 Different Types, Shapes, and Things to Know (healthline.com)

Back to top button
5
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x