Matinyi: Ruksa waandishi kutoa taarifa za Serikali

DODOMA: Msemaji Mkuu wa Serikali Mobhare Matinyi amesema ni ruksa kwa Vyombo vya Habari vya kujitegemea na Waandishi wa Habari kutoa taarifa na matangazo yanayohusu Serikali akisisitiza takwa hilo ni kwa mujibu wa Sheria ya Huduma za Habari Sura 229 na Marekebisho yake ya Mwaka 2023.
Matinyi amesema baada ya taarifa kuenea mitandaoni zikiihusisha Halmashauri ya Mji wa Ifakara mkoani Morogoro ikisema ni kosa kisheria kwa mujibu wa Kifungu cha 7 (1) (b), (iv) cha Sheria ya Huduma za Habari ya Mwaka 2016 kwa Chombo cha Habari binafsi au Mwandishi wa Habari kuzungumza masuala mbalimbali ya Serikali (National Issues) bila idhini au mwongozo wa Serikali.
“Hilo siyo sahihi,” amesema Matinyi katika taarifa yake kwa vyombo vya habari. “Sheria imeweka bayana haki za msingi za Vyombo vya Habari na Waandishi wa Habari ambazo ni kutafuta, kuchakata na kutangaza au kuchapisha habari. Waandishi wanaruhusiwa isipokuwa kwa taarifa ambazo zimezuiliwa kwa mujibu wa Sheria.”
From Home Jobs Available Here We offer fair market per-page pay rates as well as access to an abundance of work qu with the expectation of significant growth for the foreseeable future.
We also offer Here:………. http://Www.Smartcash1.com
Utaongea mwenyewe kuwa KAFA LAKINI ALIJENGA GOROFA MTAA WA SABA – HISTORIA YAKE TAYARI IMEANDIKWA 2023..
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
MAANA YAKE KUFA KWA NGOMA AU MUUWAJI ANA MAANA/NGUVU/MAONO KULIKO RAIS
Utaongea mwenyewe kuwa KAFA LAKINI ALIJENGA GOROFA MTAA WA SABA – HISTORIA YAKE TAYARI IMEANDIKWA 2023..
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
MAANA YAKE KUFA KWA NGOMA AU MUUWAJI ANA MAANA/NGUVU/MAONO KULIKO RAIS..
Utaongea mwenyewe kuwa KAFA LAKINI ALIJENGA GOROFA MTAA WA SABA – HISTORIA YAKE TAYARI IMEANDIKWA 2023..
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
MAANA YAKE KUFA KWA NGOMA AU MUUWAJI ANA MAANA/NGUVU/MAONO KULIKO RAIS TUSHIRIKISHE HISTORIA YAKO TAFADHARI!!!!!!!!?
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com