Mavunde akabidhi mtambo wa Sola
Wasimikwa wadi ya mama na mtoto

MBUNGE wa Jimbo la Dodoma Mjini Anthony Mavunde amekabidhi mtambo wa kuzalisha umeme jua ‘Sun King Inverter wa 5.1kv’
Mtambo huo una thamani ya sh milioni 7 , umesimikwa kwenye jengo la wodi ya mama na mtoto katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma.

–
Akizungumza mara baada ya kukabidhi mtambo huo, Mavunde aliishukuru Kampuni ya Sun King kwa kuunga mkono jitihada za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan za kuboresha huduma za Afya nchini na hususani huduma inayomlenga mama na mtoto katika mkoa wa Dodoma.
–

Amesema, mtambo huo Mtambo huo utasaidia kuhakikisha huduma ya nishati ya umeme inapatikana muda wote katika jengo hilo la huduma ya mama na mtoto.
–

“Tutaendelea kuthamini mchango mkubwa ambao unaofanywa na kampuni binafsi ambazo zimekua zikiwekeza kwa ajili ya kuhudumia jamii kama vile kwenye vituo vya afya, shule, sekta ya kilimo na nyinginezo.
–
Naye Mkuu wa Biashara wa Kampuni ya Sun King Tanzania , Juma Mohamed amesema kampuni yao imejipanga vyema kusaidiana na wadau mbalimbali katika kuboresha huduma za Msingi za Jamii ikiwemo Afya na Elimu kupitia bidhaa mbalimbali wanazozalisha na pia ametoa fursa ya ajira kwa vijana kama mawakala wa bidhaa za sola.
–

Akitoa shukrani kwa niaba,Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospital ya Rufaa Mkoa wa Dodoma Dkt. Peter Mbele amemshukuru Mavunde kwa kuwa bega kwa bega na uongozi wa Hospital katika kuboresha huduma za Afya..
Google pays for a good deal by making $11,500 to $9,000 a week from home. It’s often a great year, but I’m idle in a terrible economy. I thank Google every day for blessing these addresses and now it’s my duty to pay miles and share them with everyone is my starting point.
.
.
Detail Here—————————————>>> https://Fastinccome.blogspot.Com/
Work from home and start earn more than $21k from home. in previous month imade and received $23749 from this home based job and i just gave this my parttime after my college. its so easy and super cool home job. join now from thiswebsite.
.
.
Here►————➤ https://newjobshiring.blogspot.com/
My last month paycheck was for 11000 dollars… All i did was simple online work from comfort at home for 3-4 hours/day that I got from this agency I discovered over the internet and they paid me for it 95 bucks every hour…..>
.
.
Detail Here——————————>>> https://www.pay.salary49.com
Everybody can earn 500 dollars daily. Yes! you can earn more than you think by working online from home. I have been doing this job for like a few weeks and my last week payment was exactly 30,000 dollars.
.
.
Open Here———————————————————>>> http://Www.OnlineCash1.Com
hongera
MASHINDANO NANI AZIKWE KIONGOZI AU ASIYE KIONGOZI; MWEUPE AU MWEUSI, MVAA VIZURI AU MVAA VIBAYA