Mavunde kukarabati soko la Chang’ombe

Atoa tofali 10,000

MBUNGE wa Jimbo la Dodoma Mjini  Anthony Mavunde amekabidhi tofali ndogo 10,000 kwa uongozi wa Soko la Mavunde Chang’ombe,Jijini Dodoma.
Lengo la kutoa tofali hizo ni  kuboresha mandhari ya soko hilo na miundombinu yake.
Makabidhiano hayo yamefanyika kwenye soko hilo,lililojengwa kwa pamoja kati ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma na Mbunge Mavunde,wakati wa mkutano wa hadhara wa kusikiliza kero na changamoto za wafanyabiashara hao.
“Mtakumbuka wakati wa uchaguzi niliahidi kuboresha soko letu ili kuwa na mandhari rafiki na kupunguza vumbi ambalo lina athari kwa bidhaa mnazouza.”Amesema Mavunde na kuongeza
” Leo nina furaha kuja hapa kutimiza ahadi yangu ya kuboresha mandhari ya soko letu kwa kukabidhi paving blocks hizi 10,000 ambazo zitasaidia kubadlisha muonekano wa soko letu katika eneo la mbele la mapokezi.”Amesema
Gharama za matengenezo ya soko Hilo ni sh milioni  10 ili kulipa muonekano mpya.
“Nitaendelea kuunga mkono jitihada za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuboresha mazingira mazuri biashara kwa wafanyabiashara wadogo na hasa katika kuwaweka kwenye mazingira rafiki ya kufanya biashara.” Amesema Mavunde
Nae, Diwani wa Kata ya Chang’ombe Bakari Fundikira, amemshukuru  Mavunde kwa mchango wake mkubwa katika ujenzi wa soko hilo na ambavyo anaendelea kulihudumia siku hadi siku.
Kwa upande wa Mwenyekiti wa Soko Hilo, Menas Mlelwa ameshukuru kazi kubwa inayofanyika ya kuboresha soko hilo na kutumia fursa hiyo kushukuru ahadi ya Mbunge ya Tanki la Maji la Lita 5000 pamoja na TV kubwa mbili kwa ajili ya soko.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
5 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
ShantelleValeria
ShantelleValeria
26 days ago

I am receiving $88 every hour to work on-net. I’ve never believed like it can be achievable however YHUG one of my greatest pal got $27,000 just in three weeks just working this simple project & she influenced me to avai.
For more info visit………….. http://www.SmartCash1.com

NataliDelatorre
NataliDelatorre
26 days ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://earncash82.blogspot.com/

Last edited 26 days ago by NataliDelatorre
Julia
Julia
26 days ago

Cash generating easy and fast method to work in part time and earn extra $15,000 or even more than this online. By working in my spare time I made $17,000 in my previous month and I am very happy now because of this job.
.
.
Detail Here————————————————————>>>  http://Www.OnlineCash1.Com

AnglinaKevin
AnglinaKevin
24 days ago

Leo hii, huu mchakato wa Katiba tuliosifiwa nao hakuna chochote kinachofanyika, tunaona watu wameshaanza maneno maneno kuhusu ukomo wa urais(ukomo wa MAFUNDI KUJENGA NYUMBA BILA MPANGILIO MAALUMU), na pia kwenye Mahakama ya Afrika tayari tumeshajitoa,

MWANAMKE NI MALI YA FUNDI = TUSUMBUE JAMAA HAELEWI FAMILIA YANGU YA KI.KING INAKUUNGA MKONO

MAPINDUZI.JPG
AnglinaKevin
AnglinaKevin
24 days ago

KAMATI YA LAAC YARIDHISHWA MRADI WA KITEGA UCHUMI cha WAGANGA WA KIENYEJI WA BIL. 67 JIJI LA DODOMA

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeridhishwa na ujenzi wa Jengo la Kitega Uchumi CHINANGALI kwa shilingi bilioni 67 lililojengwa kwa lengo la kuongeza mapato ya ndani ya WAGANGA WA KIENYEJI TANZANIA.

MapinduziI.JPG
Back to top button
5
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x