Mbegu za asili fiwi, ulezi hatarini kutoweka

MBEGU za asili za fiwi, ulezi , njugu mawe zipo hatarini kutoweka, katika mikoa ya Kanda ya Kusini.

Mtafiti kutoka Kituo cha Utafiti Kanda Kusini (Tari), Naliendele Dk. John Tenga, amesema hayo akizungumza na HabariLEO kwenye viwanja vya Nanenane vya Ngongo mjini Lindi, amesema kwamba mbegu hizo kwa sasa zinatoweka.

Amesema kuwa jitihada inafanywa kwa kituo kufanya utafiti kuhakikisha mbegu zote za asili zinarudi tena kwa kushirikiana na wakulima na kuziboresha,ili kuzalisha mazao kwa wingi.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa shirika la Sswisaid, Betty Malaki amesema kuwa shirika hilo linafanya jitihada kwa kushirikiana na wadau mbegu za asili zitumike kuzalisha mazao na kuliwa chakula cha asili na kuondokana na kutumia mbegu za nje.

Amesema mpaka sasa wakulima wa Kanda ya Kusini walishapewa elimu na kubadilishana mbegu za asili, na sanjari kufungua benki ya mbegu za asili.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
5 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Melissaoward
Melissaoward
1 month ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://webonline76.blogspot.com/

Last edited 1 month ago by Melissaoward
Julia
Julia
1 month ago

Earn income while simply working online. Work from home whenever you want. Just for maximum 5 hours a day you can make more than $600 per day online. From this I made $18,000 last month in my spare time.
.
.
Detail Here———————————————>>>  http://Www.OnlineCash1.Com

services@tra.go.tz
services@tra.go.tz
1 month ago

habari leo

MAPINDUZI HALISI.PNG
services@tra.go.tz
services@tra.go.tz
1 month ago

habari leo DAIMA

MAPINDUZI.jpg
services@tra.go.tz
services@tra.go.tz
1 month ago

ZIMBABWE

MAPINDUZI HALISI.PNG
Back to top button
5
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x