Korosho Marathon zahitimishwa leo Mtwara

MSIMU wa pili wa mbio za Krosho Marathon 2023, umekamilika leo katika viwanda vya Nangwanda Sijaona mkoani Mtwara.

Mbio hizo zimeandaliwa na Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) na zilikuwa na umbali wa kilomita 21 ambayo mshindi wa kwanza amepatiwa Sh milioni 4, wa mwisho katika mbio hizo Sh laki 4, pia kilomita 10 ambayo mshindi wa kwanza alipatiwa Sh milioni 2.5 wa mwisho Sh 50,000.

Mshindi wa kwanza mwanaume mbio za kilometa 21 Faraja Lazaro kutoka Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) amejipatia kitita cha Sh milioni 4, amesema ushindi huo umetokanana na mazoezi tu na siyo vinginevyo hivyo amewashukuru waandaji wa mbio hizo na serikali kwa ujumla kwa jitihada kubwa za kufanikisha jambo hilo’’

‘’Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunipatia hii nafasi kwani wengi walitamani kufikia nafasi hii na tulikuwa wengi tuliyokimbia ila mimi Mwenyezi Mungu amenipa hii nafasi pia niwashukuru sana waliyoandaa haya mashindano, ni mazuri’’amesema Lazaro

Mshindi mwingine wa kwanza ambaye ni mwanamke katika kilometa hizo za kometa 21, Failuna Mtanga kutoka mkoani Arusha naye pia amejinyakulia kitita ya Sh milioni 4.

“Fedha hizi nilizopata nitaenda kufanya matumizi ya kawaida tu na nawashauri wanawake wenzangu nawafanye mazoezi ya mara kwa mara na waweze kushiriki mbio kama hizi na zingine”amesema

Mkurugenzi Mkuu wa Cbt, Francis Alfred amesema mbio hizo kwa mwaka huu 2023 zimekuwa tofauti na ya mwaka 2022 kutokana na maandalizi, ushiriki wa wadau wote katika kulifanikisha jambo hilo umekuwa mzuri.

Mgeni rasmi katika kilele cha mbio hizo ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Ahmed Abbas.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
7 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Eva V. Dreyer
Eva V. Dreyer
23 days ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://earncash82.blogspot.com/

Last edited 23 days ago by Eva V. Dreyer
JoannMiranda
JoannMiranda
23 days ago

Join this most wonderful and cool online home based job and start making more than $700 every day. 6r7 I made $24583 last month, which is incredible, and I strongly encourage you to join and begin earning money from home. Simply browse to this website now for more information.
For Details======>> http://www.SmartCareer1.com

Julia
Julia
23 days ago

My last pay test was ,500 operating 12 hours per week online. My buddy has been averaging 15,000 for months now and she works approximately 20 hours every week. I can not accept as true with how easy it become as soon as i tried it out.
.
.
Detail Here————————————————————>>>  http://Www.BizWork1.Com

yafine
22 days ago

My last month paycheck was for 11000 dollars… All i did was simple online work from comfort at home for 3-4 hours/day that I got from this agency I discovered over the internet and they paid me for it 95 bucks every hour…..> 
.
.
Detail Here——————————>>>
 https://www.pay.salary49.com

kaxil
21 days ago

My last month paycheck was for 11000 dollars… All i did was simple online work from comfort at home for 3-4 hours/day that I got from this agency I discovered over the internet and they paid me for it 95 bucks every hour…..> 
.
.
Detail Here——————————>>>
https://www.pay.salary49.com

Tibirizi Chakechake Pemba
Tibirizi Chakechake Pemba
20 days ago

Hela za kujenga ofisi za serikali zimepungua kwa asilimia 100, manager lini tutasini vifone = ajira zitaongezeka kwa asilimia 300

Capture2.JPG
Tibirizi Chakechake Pemba
Tibirizi Chakechake Pemba
20 days ago

Job Application

OIP.jpeg
Back to top button
7
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x