Mendy kutua Al Ahli

WAARABU wanaendelea kutikisa dunia ya soka baada ya kipa Edouard Mendy kukaribia kujiunga na Al Ahli ya Saudia Arabia.
Taarifa zinaeleza makubaliano binafsi kati ya klabu hiyo na Msenegali huyo yameafikiwa kwa mkataba wa miaka mitatu.
Kwa mujibu wa mwandishi wa habari za michezo, Fabrizio Romano kama mipango itaenda sawa kama walivyokubaliana kipa huyo wa Chelsea atasaini kunako klabu hiyo.
Kama Mendy atajiunga na timu hiyo, atakuwa mchezaji wa pili kuondoka Chelsea baada ya Kante kutua Al Ittihad.
Make money online from home extra cash more than $18000 to $21000. Start getting paid every month Thousands Dollars online. I have received $26000 in this month by just working online from home in my part time. every person easily do this job by.
…
Just Open This Website………>>> http://www.Richcash1.com