Mifumo ya uzazi kutengeneza damu

DAR ES SALAAM: CHUO Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi (MUHAS) kimeanza kufanya utafiti wa kutengeneza damu kutoka kwenye mifumo ya uzazi na kutengeneza benki ya sampuli za seli na vinasaba.
Hayo yamesemwa na Mtafiti wa Idara ya Micro Chemistry na Microbiology kutoka MUHAS ambaye pia ni Mhadhiri wa chuo hicho, Dk Mohamed Zahir, katika maadhimisho ya miaka 47 ya ushirikiano kati ya chuo hicho na Sweden kupitia Shirika la Maendelea la Sweden(SIDA) na miaka 60 ya ushirikiano kati ya Tanzania na Sweden
Dk Mohamed amesema, lengo la utafiti huo ni kutengeneza miundombinu ambayo itawezesha kuchukua damu kutoka kwenye mfumo wa uzazi na kutengeneza benki, kuhifadhi sampuli za seli na vinasaba ili kufanya matibabu ya masuala mbali mbali yakiwemo magonjwa ya selimundu.
“Dunia hii kuna maradhi watu wanarithi na maradhi ya kurithi mara nyingi hayana tiba sahihi, teknolojia inavyoenda tunahitaji kutumia miundombinu mipya tutumie vifaa vipya vitakavyotusaidia kupata matibabu sahihi na matibabu ambayo hawa wagonjwa wanastahili kupata.”Amesema Dk Mohamed na kuongeza
“Kwa hiyo, tunataka kutengeneza miundombinu ya benki ya damu kutoka kwenye mfumo wa mtoto kuzaliwa kuna faida nyingi sana kwa kutumia mfumo huo kwa sababu unapata seli kwenye wagonjwa wenye magonjwa ya kurithi.
“Tunachojaribu kufanya ni kutengeneza benki, tukipata mtu ambaye ana ugonjwa fulani na seli zake zimeharibika hazifanyi kazi inavyotakiwa basi kwenye benki yetu tutakuwa na seli ambazo tutaweza kudoneti kwa mtoto au mama mwenye changamoto hiyo na apate matibabu sahihi ambayo anayo.”Amesisitiza
Aidha, ameishukuru SIDA na ubalozi wa Sweden kwa kutoa fedha ambazo zinasaidia mwanasayansi kukua na kufanya tafiti ambayo Tanzania inastahiki ili kuweza kuboresha miundombinu ya nchi.
WIZARA YA NDOTO
HOTUBA YA WIZARA YA NDOTO
ULIMWENGU WA NDOTO
One. DEREVA BODABODA ANA NDOTO YA KUMILIKI KAMPUNI YA NDEGE
Two. MUUZA MBOGAMBOGA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA MBOGA MBOGA
Three. MUUZA VITUNGUU SUMU ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA VITUNGUU SUMU
Four. MUUZA NYANYA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NYANYA
Five. MUUZA MAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NDEGE
Six. MUUZA BAR ANA NDOTO YA KUMILIKI KUJENGA BAR
Seven. MUUZA FREMU ANA NDOTO YA KUMILIKI SHOPPING MALLS
Eight. MGANGA WA KIENYEJI ANA NDOTO YA KUMILIKI HOSPITALI
Nine. MPIGA DEBE ANA NDOTO ZA KUMILIKI KAMPUNI YA MABASI
Ten. MAMA NTILIE ANA NDOTO YA KUMILIKI HOTELS
Eleven. MCHEKESHAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KITUO CHA TELEVISION
Twelve. MTANGAZAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KITUO CHA TELEVISION
Upo sahihi “tukasomeeeeeee tueleweeeeeee Saaaana
Fursa BABA YETU ULIE MBINGUNI NA BWANA YESU ASIFIWE – IMPORT WATU FROM US TO TZ……..
UKIKUTANA NA MZUNGU AKUPE BRIEFCASE YA HELA UTEKELEZE VYOTE MWENYEWE
I am making $100 an hour working from home. I never imagined that it was honest to goodness yet my closest companion is earning $16,000 a month by working on a laptop, that was really dumbfounding for me, she prescribed for me to attempt it simply. Everybody must try this for this job now by just using
this site link… http://Www.Smartcash1.com
WIZARA YA NDOTO
HOTUBA YA WIZARA YA NDOTO
ULIMWENGU WA NDOTO
One. DEREVA BODABODA ANA NDOTO YA KUMILIKI KAMPUNI YA NDEGE
Two. MUUZA MBOGAMBOGA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA MBOGA MBOGA
Three. MUUZA VITUNGUU SUMU ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA VITUNGUU SUMU
Four. MUUZA NYANYA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NYANYA
Five. MUUZA MAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NDEGE
Six. MUUZA BAR ANA NDOTO YA KUMILIKI KUJENGA BAR
Seven. MUUZA FREMU ANA NDOTO YA KUMILIKI SHOPPING MALLS
Eight. MGANGA WA KIENYEJI ANA NDOTO YA KUMILIKI HOSPITALI
Nine. MPIGA DEBE ANA NDOTO ZA KUMILIKI KAMPUNI YA MABASI
Ten. MAMA NTILIE ANA NDOTO YA KUMILIKI HOTELS
Eleven. MCHEKESHAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KITUO CHA TELEVISION
Twelve. MTANGAZAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KITUO CHA TELEVISION
Upo sahihi “tukasomeeeeeee tueleweeeeeee Saaaana
Fursa BABA YETU ULIE MBINGUNI NA BWANA YESU ASIFIWE – IMPORT WATU FROM US TO TZ……..
UKIKUTANA NA MZUNGU AKUPE BRIEFCASE YA HELA UTEKELEZE VYOTE MWENYEWE..
KWELI WEWE JAMAA KWAKO HAKUNA BAG
TUNZA MAZINGIRA YAKUTUZE… UTAKACHOONDOA NDIO KAZI..
100% KIWEKWACHO HUMO HUTENGENEZWA NA WANAWAKE
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image004.jpg
KWELI WEWE JAMAA KWAKO HAKUNA BAG
TUNZA MAZINGIRA YAKUTUZE… UTAKACHOONDOA NDIO KAZI..
100% KIWEKWACHO HUMO HUTENGENEZWA NA WANAWAKE
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image004.jpg