Minziro: Tupo tayari kumkabili Simba

MBEYA: Kocha wa Tanzania Prisons Fred Felix Minziro amewataka mashabiki wa timu hiyo kujitokeza kwa wingi Oktoba 5, 2023 katika dimba la Sokoine jijini Mbeya watakaposhuka dimbani kuivaa Simba kwenye mchezo wa ligi kuu bara.
Kocha huyo amesema wamejiandaa vya kutosha kuelekea mchezo huo muhimu wa siku ya kesho na tayari wamaefanyia kazi makosa yaliyojitokeza kwenye michezo iliyopita na wapo tayari kuwapa furaha mashabiki wa timu hiyo.
Amesema mashabiki Prisons wanapaswa kujitokeza kwa wingi kuipa nguvu timu yao ili kupata matokeo mazuri.
Ikumbukwe Prisons bado hawajaonja ladha ya ushindi kwenye ligi msimu huu wakiwa wameshuka dimbani mara tatu, wakipokea vipigo kwenye michezo miwili huku wakiambulia sare katika mchezo mmoja, na wanaburuza mkia kwenye msimamo wa ligi wakiwa na alama moja.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
6 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
money
money
1 month ago

Conference ya wapi Wataelewa:-
·    Hospitali (wapeni ugonjwa waumwe wakajadiliane)
·    Mama ntilie (wape njaa wakale)
·    Hotelini (tengeneza events tualike)
·    Kwenye Basi (wape hela tusafiri)
·    Nyumbani (mpe hele ajenge)
·    Msibani (hakikisheni wanakufa na wawe na mahusiano mema)
·    Kijiwe cha kahawa (wape hela waje kunywa kahawa)
·    Jeshini (itisha mafunzo maalumu)
·    Darasani (anzisheni elimu ya watu wazima)

Umelogwa eti?

Capture.JPG
Jerrica
Jerrica
Reply to  money
1 month ago

Cash generating easy and fast method to work part time and earn an extra $15,000 or even more than this online. By working in my spare time I made $17990 in my previous month and I am very happy now because of this job. you can try this now by following 
the details here…… http://Www.Smartcash1.com

Last edited 1 month ago by Jerrica
Johnnie Gault
Johnnie Gault
Reply to  money
1 month ago

I get paid over (250$ to 550$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $35,000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following Link
http://Www.Smartwork1.com

money
money
1 month ago

Conference ya wapi Wataelewa:-
·    Hospitali (wapeni ugonjwa waumwe wakajadiliane)
·    Mama ntilie (wape njaa wakale)
·    Hotelini (tengeneza events tualike)
·    Kwenye Basi (wape hela tusafiri)
·    Nyumbani (mpe hele ajenge)
·    Msibani (hakikisheni wanakufa na wawe na mahusiano mema)
·    Kijiwe cha kahawa (wape hela waje kunywa kahawa)
·    Jeshini (itisha mafunzo maalumu)
·    Darasani (anzisheni elimu ya watu wazima)

Umelogwa eti?…

Capture1.JPG
money
money
1 month ago

Kuwa mtanzania wa Kwanza kumiliki MAVAZI YA KUELEKEA MWEZINI 2023 KWA GHARAMA YA SHILINGI 1 TU YA KITANZANIA

Capture.JPG
MONEY
MONEY
1 month ago

WIZARA YA NDOTO

HOTUBA YA WIZARA YA NDOTO

ULIMWENGU WA NDOTO

One. DEREVA BODABODA ANA NDOTO YA KUMILIKI KAMPUNI YA NDEGE

Two. MUUZA MBOGAMBOGA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA MBOGA MBOGA

Three. MUUZA VITUNGUU SUMU ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA VITUNGUU SUMU

Four. MUUZA NYANYA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NYANYA

Five. MUUZA MAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NDEGE

Six. MUUZA BAR ANA NDOTO YA KUMILIKI KUJENGA BAR

Seven. MUUZA FREMU ANA NDOTO YA KUMILIKI SHOPPING MALLS

Eight. MGANGA WA KIENYEJI ANA NDOTO YA KUMILIKI HOSPITALI

Nine. MPIGA DEBE ANA NDOTO ZA KUMILIKI KAMPUNI YA MABASI

Ten. MAMA NTILIE ANA NDOTO YA KUMILIKI HOTELS

Eleven. MCHEKESHAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KITUO CHA TELEVISION

Twelve. MTANGAZAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KITUO CHA TELEVISION

Upo sahihi “tukasomeeeeeee tueleweeeeeee Saaaana

Fursa BABA YETU ULIE MBINGUNI NA BWANA YESU ASIFIWE – IMPORT WATU FROM US TO TZ……..

UKIKUTANA NA MZUNGU AKUPE BRIEFCASE YA HELA UTEKELEZE VYOTE MWENYEWE

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg

Capture1.JPG
Back to top button
6
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x