Mjema ateuliwa mshauri wa Rais

DODOMA: RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua Sophia Mjema kuwa Mshauri wa Rais masuala ya Wanawake na Makundi Maalum.

Kabla ya uteuzi huo, Mjema alikuwa Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Una maoni usisite kutuandikia

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button