Mke wa Askofu ajinyonga kwa kuugua muda mrefu

GEITA. Biharamulo. Mke wa Baba Askofu Vitalis Sunzu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Biharamulo, Monica Vitalis (45) amekutwa amefariki dunia kwa kujinyonga kando ya aneo la hifadhi ya Taifa ya Burigi Chato.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Kamishina Msaidizi wa Polisi (ACP), Safia Jongo amethibitisha kwa waandishi wa habari mjini Geita na kueleza mwili wa marehemu ulionekana Novemba 8, 2023.

Kamanda amesema uchunguzi wa Jeshi la Polisi kwa ushirikiano na madaktari wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato (CZRH), umebaini chanzo ni msongo wa mawazo kwa marehemu kutokana na ugonjwa wa muda mrefu.

Amesema jeshi la polisi lilipokea taarifa za tukio hilo siku ya Novemba 8, 2023, majira ya saa tisa mchana zikieleza mwili wa marehemu ulikutwa ukining’inia kando ya hifadhi katika kijiji na kata ya Kasenga wilayani Chato.

“Baada ya kupata taarifa hizo timu ya upelelezi ilienda pale na kukuta ule mwili ukiwa unaning’inia juu ya mti akiwa amejinyonga na kamba ya manila, kwa hiyo mwili ule ulifanyiwa uchunguzi pale eneo la tukio,” amesema Kamanda Jongo.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
2 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
MeghanJame
MeghanJame
29 days ago

Making extra salary every month from house more than $15,000 just by doing simple copy and paste like online job. I have received $18,000 from this easy home job. Everybody can now makes extra cash online easily.
.
.
Details Here——————————————————>>>  http://Www.BizWork1.Com

Angila
Angila
29 days ago

I get paid over $87 per hour working from home with (Qx)2 kids at home. I never thought I’d be able to do it but my best friend earns over 10k a month doing this and she convinced me to try. The potential with this is endless. 
.
.
.
.
Here’s what I’ve been doing…> > > http://remarkableincome09.blogspot.com

Back to top button
2
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x