Mkurugenzi Igunga asimamishwa kazi kwa ubadhirifu
Wapo pia watumishi Tamisemi

DODOMA; WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Igunga mkoani Tabora, Athuman Msabila.
Awali, Msabila alikuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kigoma Ujiji.
Akizungumza Bungeni leo Novemba 4, 2023 jijini Dodoma wakati uchangiaji wa hoja za Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji ya Mitaji ya Umma (PIC) Mchengerwa amesema kuanzia leo amemfuta kazi Mkurugenzi huyo.
Pia, amemuagiza Katibu Mkuu wa Tamisemi Adolf Nduguru kuwasimamisha kazi watumishi wawili wa wizara hiyo Aidhan Mpozi na Tumsifu Kachira kuanzia leo.
Mchengerwa amechukua hatua hiyo baada ya kupokea taarifa ya timu ya uchunguzi katika Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji kuhusu mtandao wa upotevu wa fedha za umma kupitia mfumo mzima wa utoaji fedha kutoka Hazina kwenda Mamlaka za Serikali za Mitaa.
“Kamati imethibitisha pasipo shaka kuwa aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Athumani Msabila na maafisa tajwa wa Tamisemi wamehusika na upotevu wa fedha za umma” amesema Mchengerwa.
Aidha, amemuelekeza Mkurugenzi wa wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya kumsimamisha kazi Mwekahazina wa halmashauri hiyo Kabwengwe Nteminyanda kwa tuhuma za ubadhilifu wakati akifanya kazi kwenye halmashauri ya wilaya ya Kankonko na Uvinza mkoani Kigoma.
Pia, amewaelekeza Wakurugenzi wote wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhakikisha kuwa wanaingia kwenye vikao vya Kamati ya Fedha vya Halmashauri bila kukaimisha na ambaye hatoingia vikao vya Kamati hiyo mara mbili mfululizo atachukuliwa hatua za kinidhamu.
Mike, great work. I applaud your efforts enormously because I presently make more than $36,000 each month from just one straightforward online company! You may begin creating a steady online income with as little as $29,000, and these are only the most basic internet operations jobs.
.
.
Detail Here——————————————————–>>> http://Www.BizWork1.Com
JOIN US I’m making a good salary from home 16580-47065/ Doller week , which is amazing under a year ago I was jobless in a horrible economy. I thank God every day I was blessed with these instructions and now it’s my duty to pay it forward and share it with Everyone,
Here is I started.…………> http://Www.Smartwork1.Com
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
Making cash is very easy an simple nowdays. 2023 is the year of making money online . I am here to tell you guys that its so easy to make more than $15k every month by working online. I have joined this job 3 months ago and on my first day of working without having any experience of online jobs I made $524. This is just amazing. Join this now by follow instructions here….> www.work.profitguru7.com