Mpango asisitiza amani Umoja wa Mataifa

MAREKANI, New York: Tanzania imeunga mkono juhudi za kulinda amani ikitoa wito wa ushirikiano wa kimataifa katika kipindi ambacho mataifa mengi yameonyesha wasiwasi kuhusu kupotea kwa amani katika jumuiya ya kimataifa.

Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango amelieleza Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa wakati akimwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan ambaye hakuweza kuhudhuria kikao hicho kutokana na majukumu ya kitaifa.

“Umoja wa Mataifa ulianzisha udugu wa kihistoria, undugu, na kujitolea kwa kanuni za kutovurugana, usawa kati ya mataifa, na manufaa ya pamoja, misingi ambayo sasa inapotea,” Dk Mpango alisema katika hotuba yake.

“Tanzania inaendelea kujitolea kikamilifu na iko tayari kufanya kazi na familia ya Umoja wa Mataifa katika kudumisha amani na usalama wa kimataifa.” 

Katika ukumbi uliojaa wawakilishi kutoka Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alionesha wasiwasi wake kuhusu mchakato wa kusuasua katika utekelezaji wa Malengo Endelevu ya Maendeleo (SDGs).

Asilimia 15 tu kati ya malengo 140 yanaendelea vizuri, huku asilimia 37 kushindwa kufikia malengo au hata kurudi nyuma kutoka kiwango kilichokuwa kimefikiwa cha mwaka 2015. Dk Mpango alitaka mkazo wa haraka wa kuharakisha utekelezaji wa SDGs.

Vilevile Dk. Mpango alizungumzia mabadiliko ya tabianchi akisisitiza kuwa “sasa yamekuwa tishio kubwa duniani.” Aliitaka jamii ya kimataifa kuchukua hatua za dharura, akisema, “Tanzania kwa hivyo, inasisitiza wito wake wa hatua za dharura na zenye makubaliano na mataifa yote, kwa kusitisha uzalishaji wa gesi chafu na kuzidisha mikakati ya kupunguza madhara.”

“Ombi letu dogo ni kwamba sauti, ahadi, na suluhu zilizotolewa kwenye jukwaa hili, zinapaswa kuleta matumaini kwa walio na matumaini kidogo, hadhi kwa waliofedheheshwa, na haki kwa wote.” 

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
5 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
MONEY
MONEY
2 months ago

MTONYO:- NHC, WATUMISH HOUSING, TBA TWENDE ZAMBIA

144.Mheshimiwa Spika, vilevile, Wizara kwa Mwaka wa Fedha 2022/23 imeanza kutekeleza mradi wa kuendeleza viwanja vya Serikali jijini Lusaka, Zambia kwa kiasi cha Kwacha 500,000,000 (takriban shilingi bilioni 66.1) kwa kutumia utaratibu maalumu katika ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Zambia. Mradi huu unahusisha ujenzi wa majengo 10 kama inavyoonekana kwenye Kiambatisho Na. II cha Hotuba hii. Hadi Aprili 2023 Wizara imekamilisha tathmini ya zabuni za kampuni za ushauri elekezi zilizowasilisha maombi ya kuonesha nia (expression of interest) ya kusanifu majengo hayo. Zabuni ya kazi ya usanifu wa majengo hayo imetangazwa mwezi Mei 2023, na tuzo ya zabuni kwa kampuni zilizoshinda inatarajiwa kutolewa mwezi Juni 2023

Janet Rodrigue
Janet Rodrigue
Reply to  MONEY
2 months ago

I just got paid $7268 to work on my laptop this month. And if you think that’s cool, my divorced friend has toddler twins and made over $13,892 in the first month. It’s great to earn a lot of money while others have to work for much lower wages.
That’s what I do…….. http://www.Smartwork1.com

Last edited 2 months ago by Janet Rodrigue
Margaretarth
Margaretarth
Reply to  MONEY
2 months ago

I am now making more than 350https://s.w.org/images/core/emoji/14.0.0/svg/1f4b0.svg dollars per day by working online from home without investing any money.Join this link posting job now and start earning without investing or selling anything……. 
🙂 AND GOOD LUCK.:)..____ http://Www.Careers12.com

Last edited 2 months ago by Margaretarth
MONEY
MONEY
2 months ago

MTONYO:- NHC, WATUMISH HOUSING, TBA TWENDE ZAMBIA

144.Mheshimiwa Spika, vilevile, Wizara kwa Mwaka wa Fedha 2022/23 imeanza kutekeleza mradi wa kuendeleza viwanja vya Serikali jijini Lusaka, Zambia kwa kiasi cha Kwacha 500,000,000 (takriban shilingi bilioni 66.1) kwa kutumia utaratibu maalumu katika ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Zambia. Mradi huu unahusisha ujenzi wa majengo 10 kama inavyoonekana kwenye Kiambatisho Na. II cha Hotuba hii. Hadi Aprili 2023 Wizara imekamilisha tathmini ya zabuni za kampuni za ushauri elekezi zilizowasilisha maombi ya kuonesha nia (expression of interest) ya kusanifu majengo hayo. Zabuni ya kazi ya usanifu wa majengo hayo imetangazwa mwezi Mei 2023, na tuzo ya zabuni kwa kampuni zilizoshinda inatarajiwa kutolewa mwezi Juni 2023

money
money
2 months ago

MPANGO KATEMA CHECHE

Let’s heed the old wisdom that says: “an eye for an eye, leaves everybody blind”.

Back to top button
5
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x