Msigwa ateuliwa kuwa Katibu Mkuu Sanaa, Michezo

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Gerson Msigwa kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni na Michezo.
–
Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Zuhuru Yunusu imeeleza kuwa nafasi ya Msemaji wa Serikali na nafasi ya Mkurugenzi Habari Maelezo itatangazwa hapo baadaye
–
Katika taarifa hiyo pia imeeleza Rais Samia amemteua Othman Yakubu kuwa Balozi.
–
Kabla ya uteuzi huo Othman Yakubu alikuwa Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni na Michezo.
I even have made $17,180 only in 30 days straightforwardly working a few easy tasks through my PC. Just when I have lost my office position, I was so perturbed but at last I’ve found this simple on-line employment & this way I could collect thousands simply from home. Any individual can try this best job and get more money online going this article…..
>>>>> http://Www.Careers12.com
ORODHA YA MAJINA YA WALIOSHINDWA KULEA WATOTO 2023 HESLB: FULL LIST OF BOARD VITUO VYA MALEZI (HESLB)