Msigwa ateuliwa kuwa Katibu Mkuu Sanaa, Michezo

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Gerson Msigwa kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni na Michezo.

Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Zuhuru Yunusu imeeleza kuwa nafasi ya Msemaji wa Serikali na nafasi ya Mkurugenzi Habari Maelezo itatangazwa hapo baadaye

Katika taarifa hiyo pia imeeleza Rais Samia amemteua Othman Yakubu kuwa Balozi.

Kabla ya uteuzi huo Othman Yakubu alikuwa Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni na Michezo.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
2 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Monicauckingham
Monicauckingham
2 months ago

I even have made $17,180 only in 30 days straightforwardly working a few easy tasks through my PC. Just when I have lost my office position, I was so perturbed but at last I’ve found this simple on-line employment & this way I could collect thousands simply from home. Any individual can try this best job and get more money online going this article…..
>>>>>   http://Www.Careers12.com

Last edited 2 months ago by Monicauckingham
MB MB
MB MB
2 months ago

ORODHA YA MAJINA YA WALIOSHINDWA KULEA WATOTO 2023 HESLB: FULL LIST OF BOARD VITUO VYA MALEZI (HESLB)

Back to top button
2
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x