Mtibwa yaachana na Habib Kondo

KLABU ya Mtibwa Sugar imesitisha mkataba na kocha Habib Kondo kwa makubaliano ya pande zote mbili.

Mtibwa wametoa taarifa hiyo kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii.

Taarifa hiyo inasomeka “Tumefikia makubaliano ya pande zote mbili uongozi wa timu na kocha Habib kusitisha mkataba. Tunamshukuru kocha Habib kwa kipindi chote alichofanya kazi na sisi.”

Kondo anaondoka Mtibwa ikiwa nafasi ya 15 baada ya kukusanya pointi 2 kwenye mechi 5 wamepoteza 3 na kupata sare 2.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
3 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Work At Home
Work At Home
1 month ago

My last salary was $8,750 only worked 12 hours a week. My longtime neighbor estimated $15,000 and works about 20 hours for seven days. I can’t believe how blunt vs04 he was when 
I looked up his information, 

For More Details…… http://Www.Smartcash1.com

Last edited 1 month ago by Work At Home
AliahTetty
AliahTetty
1 month ago

★My buddy’s mother makes $90 per hour working on the computer (Personal Computer). ( a06q) She hasn’t had a job for a long, yet this month she earned $15,500 by working just on her computer for 9 hours every day.
Click and Copy Here══════►►► http://Www.SmartCareer1.com

Kathleenlakley
Kathleenlakley
1 month ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by Kathleenlakley
Back to top button
3
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x