Mtibwa yaachana na Habib Kondo

KLABU ya Mtibwa Sugar imesitisha mkataba na kocha Habib Kondo kwa makubaliano ya pande zote mbili.
–
Mtibwa wametoa taarifa hiyo kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii.
–
Taarifa hiyo inasomeka “Tumefikia makubaliano ya pande zote mbili uongozi wa timu na kocha Habib kusitisha mkataba. Tunamshukuru kocha Habib kwa kipindi chote alichofanya kazi na sisi.”
–
Kondo anaondoka Mtibwa ikiwa nafasi ya 15 baada ya kukusanya pointi 2 kwenye mechi 5 wamepoteza 3 na kupata sare 2.
My last salary was $8,750 only worked 12 hours a week. My longtime neighbor estimated $15,000 and works about 20 hours for seven days. I can’t believe how blunt vs04 he was when
I looked up his information,
For More Details…… http://Www.Smartcash1.com
★My buddy’s mother makes $90 per hour working on the computer (Personal Computer). ( a06q) She hasn’t had a job for a long, yet this month she earned $15,500 by working just on her computer for 9 hours every day.
Click and Copy Here══════►►► http://Www.SmartCareer1.com
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com