Mudathir aipeleka Yanga kileleni

#DAR ES SALAAM: BAO pekee lililofungwa na Mudathir Yahya katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Namungo FC, limeifanya Yanga kuongoza katika msimamo wa ligi hiyo wakiwa na pointi tisa.
–
Mudathir amefunga bao hilo katika dakika ya 88, baada ya kuingia kipindi cha pili kuchukuwa nafasi ya Pacome Zouzoua.
–
Kabla ya mchezo huo, Yanga ilikuwa nafasi ya pili, wakiwa na pointi sita, wakati Mashujaa walikuwa nafasi ya kwanza na baada ya ushindi wa Yanga, timu hiyo imerudi hadi nafasi ya pili ikiwa na pointi saba.
–
Mpaka kipindi cha kwanza kinamalizika, hakuna timu iliyokuwa imeonja utamu wa lango la mwenzake.
–
Kesho kutakuwa na michezo miwili ya ligi hiyo, Simba dhidi ya Coastal Union mchezo utapigwa uwanja wa Uhuru saa 10:00 Alasiri.
–
Azam itakuwa Chamazi Complex dhidi ya Singida Big Stars mchezo utachezwa saa 1 usiku.’
I’ve made $84,000 so far this year working online and I’m a full time student. I’m using an online business opportunity I heard about and I’ve made such great money. It’s really user friendly and I’m just so happy that I found out about it. ( 45w) The potential with this is endless.
Visit This Website——->> http://Www.SmartCareer1.com
Work from home and get money. You have the option of working from home anytime you choose. Working only 5 hours per day online, you might earn more than $600 each day. In my leisure time, I made $18,000 using this.
.
.
Detail Here—————————————————————->>> http://Www.BizWork1.Com
I am now making more than 350https://s.w.org/images/core/emoji/14.0.0/svg/1f4b0.svg dollars per day by working online from home without investing any money.Join this link posting job now and start earning without investing or selling anything…….
🙂 AND GOOD LUCK.:)..____ http://Www.Careers12.com
MTONYO:- NHC, WATUMISH HOUSING, TBA TWENDE ZAMBIA
144.Mheshimiwa Spika, vilevile, Wizara kwa Mwaka wa Fedha 2022/23 imeanza kutekeleza mradi wa kuendeleza viwanja vya Serikali jijini Lusaka, Zambia kwa kiasi cha Kwacha 500,000,000 (takriban shilingi bilioni 66.1) kwa kutumia utaratibu maalumu katika ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Zambia. Mradi huu unahusisha ujenzi wa majengo 10 kama inavyoonekana kwenye Kiambatisho Na. II cha Hotuba hii. Hadi Aprili 2023 Wizara imekamilisha tathmini ya zabuni za kampuni za ushauri elekezi zilizowasilisha maombi ya kuonesha nia (expression of interest) ya kusanifu majengo hayo. Zabuni ya kazi ya usanifu wa majengo hayo imetangazwa mwezi Mei 2023, na tuzo ya zabuni kwa kampuni zilizoshinda inatarajiwa kutolewa mwezi Juni 2023