Mvua yaleta balaa Bukoba

KAGERA; Bukoba; Mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali iliyonyesha alfajiri ya leo Oktoba 18, 2023, imesababisha madhara katika maeneo mbalimbali Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera.
Kutokana na hali hiyo Mkuu wa Wilaya ya Bukoba, Erasto Siima amewaagiza watendaji wa serikali za mitaa na kata Manispaa ya Bukoba kuhakikisha wanashirikiana na wenyeviti wa serikali za mitaa kufanya tathimini kujua athari za mvua hizo kwa jamii.
Pia ameliagiza Jeshi la Polisi mkoani Kagera kufanya uchunguzi wa mtu aliyekutwa amekufa katika Manispaa ya Bukoba, ili kubaini kama kifo icho kimetokana na mvua hizo au la.
Mkuu huyo wa Wilaya amesema baadhi ya nyumba zimeathriwa na mvua hiyo, pia vibanda vya biashara pamoja na mazao ya mboga mboga yameguswa na mvua hizo.
Hata hivyo amesema kwa muda mfupi hawawezi kutoa tathimini ya athari za mva, lakini kupitia watendaji wataweza kupata tathimini ya jumla na kufahamu athari ikiwemo za miundombinu.
Ametaka wananchi kuendelea kuchukua tahadhari kuhusu mvua hizo, lakini pia watoe taarifa sahihi pale timu ya tathimini itakapofika, akisisitiza kuwa lazima wananchi waendelee kufuatilia taarifa za utabiri wa hali ya hewa kupitia vyombo vya habari.
Viongozi mbalimbali akiwemo mbunge wa Jimbo la Bukoba Stephen Byabato, madiwani na viongozi wengine wameonekana mitaa mbalimbali wakitembelea wananchi waliopata madhara mbalimbali kwa kutoa pole, huku viongozi wengine wakituma ujumbe wao kupitia majukwaa ya mitandao ya kijamii.
Cash generating easy and fast method to work part time and earn an extra $15,000 or even more than this online. By working in my spare time I made $17990 in my previous month and I am very happy now because of this job. you can try this now by following
the details here…… http://Www.Smartcash1.com
★My buddy’s mother makes $90 per hour working on the computer (Personal Computer). ( b06q) She hasn’t had a job for a long, yet this month she earned $15,500 by working just on her computer for 9 hours every day.
Click and Copy Here══════►►► http://Www.SmartCareer1.com
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com