Mvua zakimbiza samaki

SAMAKI aina ya dagaa mchele na saladini wameadimika katika soko la Kimataifa la Samaki Feri mkoani Dar es Salaam na kusababisha kupaa kwa bei ya kitoweo hicho.
Ofisa Uvuvi wa soko hilo, Abeid Shamte akizungumza alisema hali hiyo inasababishwa na mabadiliko ya hali ya hewa baharini.
“Kama unakumbuka ulivyokuja Septemba 2023 nilikueleza sababu za kitaalamu za ukosekanaji wa samaki na kukuahidi endapo hakutakuwa na mabadiliko ya tabianchi huenda samaki wakaongezeka,” amesema Shamte na kuongeza kuwa pamoja na kuongezeka katikati ya mwezi Oktoba mwanzoni mwa Novemba hali imebadilika
Shamte amesema lakini uadimikaji wa awali na wa sasa una tofauti yake, kwa sababu mwezi Mei hadi Septemba ni msimu wa baridi kwa ukanda wa mwambao wa Pwani na hakuna mvua kali na ngurumo lakini safari hii kuna mvua kubwa zilizoanza Novemba, 2023.
“Samaki ana tabia moja bahari inapochafuka hususani mvua zinazosababisha mito kufurika na kuelekea baharini kunakosekana utulivu na hivyo samaki hutafuta maficho zaidi kwa sababu maji yaingiayo baharini huja na takataka, udongo na kila aina ya uchafu hivyo husombwa na maji kuelekea umbali mrefu ambapo hata wavuvi wakati mwingine hawezi kufika,” amesema.
Wafanyabiashara wakizungumza na HabariLEO sokoni hapo ili kubaini bei ya samaki kwa ndoo ya lita 20 walisema bei ya dagaa mchele imetoka Sh 30,000 hadi Sh 100,000 wakati wiki mbili zilizopita ndoo ya saladini ilikuwa Sh 40,000 na sasa imefika Sh 100,000.
Kutokana na hali hiyo samaki kwa bei ya rejareja mitaani haijapanda isipokuwa vipimo vya ujazo vimekuwa finyu mno kwa maana ya ukadiriaji wa mafungu bado fungu ni Sh 1,000 lakini halina ukubwa kama ule wa kipindi samaki wanapopatikana kwa wingi.
Je umejisajili #MwangwiwaUkarimu #EchoesofKindness
Making cash is very easy an simple nowdays. 2023 is the year of making money online . I am here to tell you guys that its so easy to make more than $15k every month by working online. I have joined this job 3 months ago and on my first day of working without having any experience of online jobs I made $524. This is just amazing. Join this now by follow instructions here….> www.work.profitguru7.com
JOIN US I’m making a good salary from home 16580-47065/ Doller week , which is amazing under a year ago I was jobless in a horrible economy. I thank God every day I was blessed with these instructions and now it’s my duty to pay it forward and share it with Everyone,
Here is I started.…………> http://Www.Smartwork1.Com
Im making cash making is very easy and simple nowdays. 2023 is the year of making money online. i am here to tell you guys that its so easy to make more than $15k every month by working online. i have joined this job 3 months ago and on my very first day of working without having any experience of online jobs i made $524. this is just amazing. join this now by follow instructions here….> www.work.profitguru7.com
Start making more money weekly… This is a valuable part time work for everyone… The best part ,work from comfort of your house and get paid from $10k-$20k each week … Start today and have your first cash at the end of this week…
HERE ??www.work.profitguru7.com
super fast money earning online job to flood the cash in your bank acc every week. from this only by working for 2 hrs a day after my college i made $17529 in my last month. i have zero experience when i joined this and in my first month i easily made $11854. so easy to do this job and regular income from this are just superb. want to join this right now? just go to this web page for more info.
http://www.work.profitguru7.com
I am making $162/hour telecommuting. I never imagined that it was honest to goodness yet my closest companion is earning $21,000 a month by working on the web, that was truly shocking for me, she prescribed me to attempt it simply.
.
.
Detail Here——————————————————–>>> http://Www.BizWork1.Com