Jifunze Kiswahili

MAZUNGUMZO

 SIJALI  AZUNGUMZA NA MTOTO WAKE ,MASHAKA

Sijali: Je,mtihani Ilikuwa ngumu?

Mashaka:Ndiyo,mtihani ulikuwa mgumu sana.

Sijali:Je, unafikiri  utafaulu?

Mashaka;Sijui,lakini nilifanya karibu maswali yote.

Sijali:Je,watoto wote wakiona mtihani ni mgumu?

Mashaka:Ndiyo,Kila mtoto alisema mtihani huo ni mgumu sana.

Sijali:Mwalimu wenu anasemaje juu ya mtihani?

Mashaka:Hakusema neno .Alisema tu “poleni watoto!”

Sijali:majibu yatatoka lini?

Mashaka :Majibu yatatoka mwezi ujao

Sijali:Ukifaulu utakwenda wapi?

Mashaka:Nikifaulu ,nitakwenda shule ya sekondari.

Sijali:Je ,Unataka kusomea nini?Unataka kazi gani?

Mashaka:Ninataka kuwa daktarii Ili niwatibu wagonjwa.

NNchi yetu Haina waganga wa kutosha ,na wagonjwa ni wengi sana

Sijali:Vizuri sana mwanangu ukiwa mganga nitafurahi sana.

Maneno Muhimu

Kwenda shuleni,.                                      To go to school

Kurudi Toka shuleni,                                to come back from school

Mwalimu Yuko shuleni,.                           The teacher is at school

Hayuko shuleni,.                                         He is not at school.

Kusoma shule ya msingi ,.                        to attend primary school

Kufanya mtihani,                                        to do examinations

End of our topic

Habari Zifananazo

Back to top button