Mwakinyo afungiwa mwaka mmoja

KAMISHENI ya ngumi za kulipwa nchini (TPBRC) imemfungia bondia Hassan Mwakinyo mwaka mmoja.
Mwakinyo amefungiwa kupanda ulingoni ndani na nje ya nchi kwa kipindi cha mwaka mmoja na faini ya Sh milioni 1.
Kwa mujibu wa taarifa ya TPBRC, Mwakinyo amefungiwa kutokana na kugomea pambano lake lililokuwa lifanyike Septemba 29 mwaka huu.
I make $100h while I’m daring to the furthest corners of the planet. Last week I worked by my PC in Rome, Monti Carlo finally Paris… This week I’m back in the USA. All I do are basic tasks from this one cool site. see it,
Copy Here→→→→→ http://Www.Smartcash1.com