Mwendesha Mashtaka Vioja Mahakamani afariki dunia

 MWIGIZAJI maarufu wa Kenya katika kipindi cha Vioja Mahakamani, Gibson Mbugua amefariki dunia.

 

Familia ya mwigizaji huyo aliyekuwa akijulikana kwa jina maarufu kama Mwendesha Mashitaka, imethibitisha kifo hicho na kusema kilitokea asubuhi leo kutokana na maradhi ya sukari na figo yaliyokuwa yakimsumbua kwa muda mrefu.

 

 

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button