Mwenge wa Uhuru kupitia miradi ya Sh bilioni 29 Geita

MBIO za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2023 zimewasili mkoani Geita kutokea mkoani Shinyanga ambapo utakimbizwa katika halmashauri sita, kutembelea, kukagua na kuzindua miradi 59 yenye thamani ya Sh bilioni 29.

Akizungumuza leo wakati wa mapokezi ya mwenge katika kijiji cha Nyang’olongo wilayani Nyang’hwale, Mkuu wa mkoa wa Geita, Martin Shigela alisema Mwenge wa Uhuru ukiwa mkoani hapa utakimbizwa Km 755.54.

Amefafanua, viongozi wa mbio za mwenge wanatarajia kufungua miradi mitatu, kuzindua miradi 21, kukagua miradi 22 na kuweka mawe ya msingi kwenye miradi 13.

Amesema kwa kuzingatia ujumbe wa mbio za Mwenge Kitaifa Mwaka 2023, usemao Tunza Mazingira, Okoa Vyanzo vya Maji kwa Ustawi wa Viumbe Hai na kwa Ustawi wa Uchumi mkoa umetekeleza miradi tofauti ikiwemo upandaji miti.

Shigela amesema kwa mwaka 2022/23 mkoa umepanda jumla ya miti milioni 5.07, uhamasishaji wa matumizi ya nishati mbadala kwa taasisi na wananchi na utekelezaji wa kampeni ya kitaifa ya usafi mwisho wa mwezi.

Amesema pia mkoa unaendelea kuunga mkono juhudi za kitaifa za kupamabana na maambukizi ya viruisi vya ukiwmi ambapoo mkoa umepunguza Kasi ya maambukizi ya hadi kufikia asilimia tano kwa utafiti wa mwaka 2016).

Amesema pia takwimu za upimaji zinaonesha kuwa kwa mwaka wa fedha 2022/2023 waliopimwa UKIMWI katika Mkoa wa Geita ni watu 436,031.

“Kati ya hao wanaume ni 147,825 na wanawake ni 288,206 huku wananchi waliokutwa na maambukizi ni 11,926 kati yao wanaume 4,662 na wanawake ni 7,264 sawa na asilimia 2.7.” Ameeleza Shigela.”

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2023, Abdullah Shaibu Karimu amesisitiza watapitia miradi husika kujiridhisha ubora na thamani halisi ya miradi na utekelezaji wa kauli mbiu ya Mwenge wa Uhuru 2023.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
6 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Sarah C. Palmer
Sarah C. Palmer
2 months ago

Start utilizing Google to work from home! It’s far and away the best job I’ve ever had. I received a brand-new BMW on last Wednesday after receiving a check for 13474 USD earlier in the month. q1 I had been doing this for eight months when I immediately began to bring home at least 50USD per hour. I use this link and go to the tech page to
.
.
see my work details___ https://fastinccome.blogspot.com/

julizaah
julizaah
Reply to  Sarah C. Palmer
2 months ago

I made over $700 per day using my mobile in part time. I recently got my 5th paycheck of $19632 and all i was doing is to copy and paste work online. this home work makes me able to generate more cash daily easily simple to do work and regular income from this are just superb. Here what i am doing.

.

.

.

Check info here——————>>> http://www.join.salary49.com

Last edited 2 months ago by julizaah
Darlene Fountain
Darlene Fountain
2 months ago

I make over 13k a month working part-time. I listened to different humans telling me how a good deal of cash they may make online,N255 so I was determined to locate out. Well, it turned into all actual and it absolutely modified my life. Everybody must try this job now by just using this
site….. https://workscoin1.pages.dev/

Last edited 2 months ago by Darlene Fountain
AngelaSimmons
AngelaSimmons
2 months ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://webonline76.blogspot.com/

Last edited 2 months ago by AngelaSimmons
Zambia Revenue Authority
Zambia Revenue Authority
1 month ago

Zambia Revenue Authority

MAPINDUZII.PNG
John Pombe Joseph Magufuli
John Pombe Joseph Magufuli
1 month ago

Zambia Revenue Authority

MAPINDUZI.jpg
Back to top button
6
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x