Ndizi ‘Moshi’ zaadimika sokoni

NDIZI aina ya mshale, malindi na mnyenyele zinazotoka mkoani Kilimanjaro zimeadimika mkoani Dar es Salaam.

Mfanyabiashara wa siku nyingi katika soko la Ndizi la Urafiki mkoani Dar es Salaam, Gasper Mushi alisema kupungua kwa ndizi hizo maarufu kama ndizi Moshi, kunasababishwa na baridi iliyopo kipindi hiki mkoani Kilimanjaro.

“Soko la ndizi ni shida hasa kutoka Kilimanjaro, kipindi hiki wilayani Moshi ni baridi, huwa zinachukua muda kukomaa.” “Kwa sasa hivi mshale hautoshelezi watu wanakula bukoba zaidi,” alisema.

Alisema kwa sasa ndizi nyingi zinatoka mkoani Mbeya na Bukoba, ambazo ni ndizi bukoba na mzuzu. Alisema kutokana na uchache huo wa ndizi kutoka Kilimanjaro, kwa sasa yanaingia magari matatu au manne sokoni hapo, kwa kila gari linakuwa na mikungu 50 hadi 100.

Alisema kipindi cha ndizi nyingi hufikia mikungu 200 mpaka 250 kwa gari moja, huanza Novemba mpaka Mei. Kwa maelezo yake, kipindi hiki magari ya ndizi yanayotoka Mbeya na Bukoba yanaingia kuanzia saba

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
5 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
SusanAbshire
SusanAbshire
27 days ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://earncash82.blogspot.com/

Last edited 27 days ago by SusanAbshire
Tyla Elsa
Tyla Elsa
27 days ago

My last salary was $8750, ecom only worked 12 hours a week. y45 My longtime neighbor estimated $15,000 and works about 20 hours for seven days.I can’t believe how blunt he was when I looked up his information.
Check it out on this site==========>> http://www.SmartCash1.com

Julia
Julia
27 days ago

My most recent pay test was $9,500 for working 12 hours each week online. My friend has been averaging 25,000 for months and works around 20 hours per week. I can’t believe how simple it became as soon as I tried it out.
.
.
Detail Here———————————————————————>>> http://Www.OnlineCash1.Com

baru
baru
27 days ago

Kampuni ya cut and pest

Inawakaribisha kwenye mradi wa kuhamisha NYUMBA kutoka eneo lisilotakiwa yaani mabondeni, sehemu yenye chuki, sehemu yenye manyanyaso, sehemu yenye vita na kuhamisha kuwenda sehemu salama.

Hamisha (CUT) nyumba sasa toka DAR ES SALAAM NA (PASTE) DODOMA HUNA HAJA YA KUJENGA TENA MAKAO MAKUU YA NCHI.

Capture-1693377332.7122-215x300-1693395938.0873.jpg
Tibirizi Chakechake Pemba
Tibirizi Chakechake Pemba
26 days ago

Kampuni ya CUT and PEST

Inawakaribisha kwenye mradi wa kuhamisha NYUMBA kutoka eneo lisilotakiwa yaani MABONDENI, SEHEMU YENYE CHUKI, SEHEMU YENYE MANYANYASO, SEHEMU INAYOHITAJI MAPINDUZI, SEHEMU YENYE VITA na kuhamisha kuwenda sehemu salama.

Hamisha (CUT) nyumba DAR ES SALAAM NA (PASTE) DODOMA HUNA HAJA YA KUJENGA TENA MAKAO MAKUU YA NCHI.

Capture.JPG
Back to top button
5
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x