NEC yateua Mbunge Viti Maalum

DAR ES SALAAM; TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imemteua Aziza Ally Sleyum kuwa Mbunge wa Viti Maalum katika Bunge la Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).

Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Ramadhan Kailima imeeleza kuwa hatua hiyo inatokana na kupokea barua kutoka kwa Spika wa Bunge ikiitaarifu Tume kuhusu kuwepo nafasi ya wazi ya ubunge kufuatia kujiuzulu kwa aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum, Bahati Ndingo.

Bahati alijiuzulu nafasi  hiyo ya ubunge Agosti 17 mwaka huu ili kuwania ubunge katika Jimbo la Mbarali, baada ya aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo Francis Mtega kufariki dunia Julai Mosi, mwaka huu kwa ajali.

 

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
2 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Julia
Julia
29 days ago

Cash generating easy and fast method to work in part time and earn extra $15,000 or even more than this online. By working in my spare time i made $17,000 in my previous month and i am very happy now because of this job.
.
.
Detail Here——————————————————–>>>  http://Www.BizWork1.Com

BarbaraBirch
BarbaraBirch
28 days ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 28 days ago by BarbaraBirch
Back to top button
2
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x