Trending

Zimamoto wa dhibiti moto New Mwanza Hoteli

MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Adam Malima amesema Jeshi la zimamoto limefanikiwa kudhibiti moto katika Hoteli ya New Mwanza na kwamba vyombo vya ulinzi na usalama vinaendelea na taratibu kubaini chanzo cha moto huo ikiwa ni pamoja na kufanya tathmini ya madhara.

New Mwanza Hoteli, ambayo ipo katikati ya jiji la Mwanza iliripotiwa kuungua moto  Agosti 31.

 

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
0 Comments
Inline Feedbacks
View all comments
Back to top button
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x