Nikki: Muziki bado pasua kichwa

MSANII wa HipHop, Nicas Mchuche’Nikki Mbishi ‘amesema haamini kwenye mauzo ya muziki yanayofanyika kupitia majukwaa ya mitandao.
Mwanamuziki huyo amesema hiyo ndio sababu ya kuamua kusambaza albamu yake mpya ya katiba yeye mwenyewe.
Nikki anasema hafikirii kama Tanzania imesonga mbele kwenye suala la mauzo ya muziki mitandaoni kwani malipo yake yamekuwa hayatoi taswira njema akilinganisha na wakati ambao hakukuwa na mauzo ya mitandaoni.
“Huwezi kusema sasa hivi muziki unakuwa au unaenda mbele wakati zamani mtu hajamaliza kazi ashapewa fedha, lakini sikuhizi unamaliza kazi, unatoa albamu unaitangaza alafu unakuja kupewa milioni moja baada ya miezi minane” amesema Nikki
Nikki Mbishi anaendelea kuisambaza albamu yake mpya ya katiba aliyoiachia wiki nne zilizopita na ameamua kuiuza kupitia mitandao binafsi.
I earn $100 per hour while taking risks and travelling to remote parts of the world. I worked remotely last week while in Rome, Monte Carlo, and eventually Paris. I’m back in the USA this week. I only perform simple activities from this one excellent website. see it,
Click Here to Copy————————–>>>> http://www.join.hiring9.com