Ole Sendeka: Jumatatu nataja wezi

DODOMA; MBUNGE wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka amesema Jumatatu atawataja wezi waliohusika na upotevu wa pesa za Kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), na Standard Gauge Railway (SGR).
Ole Senderka ameyasema hayo leo Novemba 4, 2023 Bungeni jijini Dodoma wakati akichangia hoja za Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji ya Mitaji ya Umma (PIC).
“Mimi nigekuwa Waziri miezi sita hii hakuna ambaye angebaki aliyetuhumiwa kwenye wizara yangu, lakini nataka niwaambie wako watu wamefisadi kuanzia IPTL leo wako Serikalini”amesema na kuongeza
“Pamoja na maazimio ya bunge, ni leo tu nanyamaza, keshokutwa [Jumatatu] katika mjadala mwingine nitataja nani wako nyuma ya IPTL, nani yupo nyuma ya ufisadi wa SGR ambayo manunuzi yametugharimu hasara,”amesema Ole Sendeka.
Amesema kwa ufisadi uliofanyika, pesa zingetolewa, kwenye miradi ya maendeleo Zanzibar ingepata gawio la zaidi ya Sh bilioni 300.
Mike, great work. I applaud your efforts enormously because I presently make more than $36,000 each month from just one straightforward online company! You may begin creating a steady online income with as little as $29,000, and these are only the most basic internet operations jobs.
.
.
Detail Here——————————————————–>>> http://Www.BizWork1.Com
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com