Pacha walioungana Tabora wahamishiwa Saudi Arabia

MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Mohammed Janabi amesema kitendo cha Saudi Arabia kuamua kuwahudumia watoto pacha walioungana Hassan na Hussein kinaashiria mahusiano mema na adhimu kati ya Tanzania na nchi hiyo.
Profesa Janabi amesema hayo Dar es Salaam leo wakati Kaimu Balozi wa Saudi Arabia nchini Fahad Alharbi alipokwenda kuwajulia hali watoto hao, ambao wamekuwa wakipatiwa matibabu kwa takribani miaka miwili sasa.
Balozi huyo aliwasili Hospitali ya Taifa Muhimbili kuwajulia hali watoto mapacha Hassan na Hussein ambao wameungana sehemu ya kifua, tumbo na nyonga na wana miguu mitatu wako hospitalini hapo pamoja na Mama yao.
Akizungumza na waandishi wa habari, Profesa Janabi alisema kitendo cha Saudi Arabia kuwatibu kwa kuwapeleka nchini kwao ni ishara ya uhusiano mwema uliopo.
Amesema ana matumaini kuwa matibabu ya watoto hao yatafanikiwa kutokana na mafanikio waliyonayo Saudi Arabia katika sekta ya afya.
Naye, daktari Bingwa wa upasuaji wa watoto, Zaituni Bokhary alisema watoto hao wataambatana na jopo la wataalam kwenda Saudi Arabia kimatibabu.
Watoto mapacha Hassan na Hussein wenye mwaka mmoja na miezi 11 walipelekwa Muhimbili wakiwa na wiki mbili wakitokea Tabora, ambapo wanatarajiwa kusafiri kesho kwenda Saudi Arabia kwa ajili ya matibabu zaidi.
–
Google paid 99 dollars an hour on the internet. w56 Everything I did was basic Οnline work from comfort at home for 5-7 hours per day that I got from this office I found over the web and they paid me 100 dollars each hour. For more details
visit this article————-—>> http://www.SmartCash1.com
Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet…
Check The Details HERE….. https://earncash82.blogspot.com
Everybody can earn 500 dollars daily. Yes! you can earn more than you think by working online from home. I have been doing this job for like a few weeks and my last week payment was exactly 30,000 dollars.
.
.
Detail Here——————————————————->>> http://Www.OnlineCash1.Com
Mandonga mtu kazi vs CHINA Kung Fu VS TAARIFA ZA WAMEFANYAJE MAU…AJI
Mandonga mtu kazi vs CHINA Kung Fu VS TAARIFA ZA WAMEFANYAJE MAU…AJI.. MUU. HAJI ZIMEBAKI SIKU NGAPI ZA KUISHI?
Mandonga mtu kazi vs CHINA Kung Fu VS TAARIFA ZA WAMEFANYAJE MAU.AJI… MUU.. HAJI ZIMEBAKI SIKU NGAPI ZA KUISHI?
My last month paycheck was for 11000 dollars… All i did was simple online work from comfort at home for 3-4 hours/day that I got from this agency I discovered over the internet and they paid me for it 95 bucks every hour…..>
.
.
Detail Here——————————>>> https://www.pay.salary49.com
Waganga wa kienyeji TZ
Je wanatibu kweli au wanacheza kamari na maisha ya watu?
Maelezo ya picha,
Watu wengi nchini Tanzania – na kote barani Afrika, hutafuta ushauri wa waganga wa kienyeji wanaotibu maradhi mbali mbali na kupiga kamari.Sheria za serikali na madawa ya kisasa, huenda zimebadilika , lakini waganga wa kienyeji wangalipo tena kwa sana. Mpiga picha Sasja van Vechgel alikutana na baadhi yao. Mganga huyu anaendesha kazi yake katika ‘Kitala’, kijumba kidogo anachotumia kuwapa wagonjwa dawa
Maelezo ya picha,
Baadhi ya watu kuonelea bora kutibiwa na daktari wa kienyeji kuliko daktari wa kawaida kwa kuwa na umani nao zaidi na labda kutokana na madawa ya kisasa kukosa kufanya kazi.
Maelezo ya picha,
Wanawake na wanaume wanaweza kuwa waponyaji, inategemea tu umri. Wale wanaoheshimiwa zaidi ni wale ambao jamaa wao mmoja amewahi kuwa mganga. Mwanamume huyu mwenye umri wa miaka 40 anasema yeye anawatibu wanaopooza. Yeye ni kama mchuuzi akitembeza dawa zake nyumba hadi nyumba. Wakati mwingine hutumia chumba cha hospitalini kuwatibu wagonjwa wake, ingawa hakuna thibitisho la kisayansi kuwa dawa zake zinaponya
Maelezo ya picha,
Matibabu hujumuisha mchanganyiko wa matambiko na dawa za kienyeji.Waganga wanasema kuwa wanaweza kufanya kazi yao kutokana na mwongozo wa wazee wa jadi ikiwa wamepagawa na pepo . Wao hutumia mboko wakitoa matamshi yasiyoeleweka ”Chupa hii ndio kifaa muhimu kwangu,” anasema mganga huyu mwenye umri wa miaka 88.
Maelezo ya picha,
Mgonjwa huyu ametibiwa kwa ugonjwa wa mifupa.Waganga hutumia majani au migomba ya miti inayotolewa kwa miti yenye uwezo wa kutibu. Wao huikoroga kwa pamoja na kisha kuisugua mgongoni au sehemu anayoumwa mgonjwa
Maelezo ya picha,
Baadhi ya waganga huuza vifaa mbali mbali kama pembe za wanyama. Matibabu ya waganga hawa inaweza kuwa kati ya dola 5 au nane na wakati mwingine hata miamoja kulingana na ugonjwa
Maelezo ya picha,
Baadhi ya waganga Kusini mwa Tanzania husema kuwa dawa huwa na nguvu zaidi ikiwa na sehemu ya mwili wa mtu mfano wale walio na ulemavu wa ngozi au Albino
Maelezo ya picha,
Baadhi ya wagonjwa ambao huja kwangu tayari wamekwenda hospitalini bila mafanikio. Sindano na madaya hayajaweza kuwatibu. Mganga huyu anasema kuwa ikiwa ataweza kumtibu mgonjwa vyema, habari itawafikia wagonjwa wengine. yeye hana mabango ya kutangaza kazi yake.
Maelezo ya picha,
Miongoni mwa waganga kuna misimamo tofauti kuhusu maradhi ya ukimwi. Sio waganga wote wanasema wana uwezo wa kutibu HIV, lakini mganga huyu ni mmoja wa wale wanaotibu ugonjwa huo. Anasema kuna wale wanaowashauri wagonjwa kwenda hospitalini kwa matibabu.