Pacome aitanguliza Yanga

KIUNGO Pacome Zouzoua ameipelekea Yanga mapumziko ikiwa mbele kwa bao 1-0. Bao hilo limefufua matumaini ya Yanga kufuzu robo fainali.

Pacome amefunga bao hilo dakika ya 33.

Endapo matokeo hayo yatabaki hivyo, Yanga itakuwa na pointi 5 katika nafasi ya pili.

Kinara wa kundi D, Al-Ahly pia ana pointi 5 atacheza usiku huu dhidi ya CR Belouizdad.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button