Phiri yupo sana Simba – Ahmed

MENEJA wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally amezima tetesi za mshambuliaji Moses Phiri kutaka kujiunga na Yanga SC.

Akizungumzia maandalizi ya mchezo wa Jumapili dhidi ya Yanga, Ahmed amesema nyota huyo ataondoka klabuni hapo endapo klabu yake itaamua kufanya hivyo.

“Moses (Phiri) ataondoka Simba siku tukiamua kuachana naye na siku hiyo siioni, hawatampata ‘General’ hata siku moja,”

“Kwanza Moses Phiri anaondokaje Simba. Simba ni sehemu ya wachezaji kutimiza malengo yao, wachezaji wetu ni matajiri, wanaishi maisha ya kifalme.”amesema Ahmed.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
4 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Ulikuwa na Mradi/Project ya Matrilioni wakati Sumu
Ulikuwa na Mradi/Project ya Matrilioni wakati Sumu
1 month ago

DFS

Capture.JPG
Nilailliams
Nilailliams

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by Nilailliams
Ulikuwa na Mradi/Project ya Matrilioni wakati Sumu
Ulikuwa na Mradi/Project ya Matrilioni wakati Sumu
1 month ago

HISTORIA itutabirie URAIS

Capture.JPG
Angila
Angila
1 month ago

HOME-BASED real Earner.I am just working on Facebook only 3 to 4 hours a Day and earning $47786 a month easily, that is handsome earning to meet my extra expenses and that is really life changing opportunity.(Qj) Let me give you a little insight into what I do…

FOR More Details……….. >> http://Www.Smartcareer1.com  

Back to top button
4
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x