Ponyo ajiondoa urais, aungana na Katumbi

WAZIRI Mkuu wa zamani wa DR Congo, Augustin Matata Ponyo, amejiondoa kwenye uchaguzi wa urais utakaofanyika mwezi ujao.

Ponyo amesema baada ya hatua hiyo sasa atamuunga mkono Moïse Katumbi, mfanyabiashara milionea na gavana wa zamani wa eneo la Katanga.

Wawakilishi wa vyama vikuu vya upinzani nchini nchini humo walifanya mazungumzo mapema wiki hii kuhusu jinsi ya kuhakikisha uchaguzi huo utakuwa wa haki, na kuchunguza uwezekano wa kuwepo kwa mgombea mwenza kumpa changamoto Rais Felix Tshisekedi.

Ponyo amesema anaamini wagombea wengine wa upinzani watafuata nyayo zake kujiondoa kumuunga mkono Katumbi.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
1 Comment
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
RubyHutcherson
RubyHutcherson
18 days ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 18 days ago by RubyHutcherson
Back to top button
1
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x