PPFT yamuunga mkono Rais Samia

MWENYEKITI wa Ushirika wa Wachungaji wa Kipentekoste Tanzania (PPFT) Askofu Pius Ikongo ametangaza kumuunga mkono Rais Samia Hassan Suluhu kwa kauli yake ya kutamka na kufunga mjadala wa bandari
Akizungumza na waandishi wa habari jana Jijini Arusha, Askofu Ikongo amesema kila mmoja ametoa maoni kuhusu suala la bandari na endapo kuna kasoro katika mkataba huo zirekebishwe kwa maslahi ya nchi.
Amempongeza Rais Samia kwa kutoa kauli ya kunyamaza kimya lakini aliongezakwa kusema kuwa kunyamaza kimya huko kunatoa nafasi ya watu wengine kuendelea kujadili ilhali suala hilo limejadiliwa sana basi ifike ukomo wake
“Rais anaponyamaza utulivu unakuwepo na kila mtu ameongea lakini kwasababu Rais ametoa nafasi sipingani nao lakini sasa Rais atamke kwakusema sasa basi amepokea maoni ya kila aliyesema kuhusu bandari sasa iwe mwisho”
Hy
I am receiving $88 every hour to work on-net. w34 I’ve never believed like it can be achievable however YHUG one of my greatest pal got $27,000 just in three weeks just working this simple project & she influenced me to avai.
For more info visit………….. http://www.SmartCash1.com
Leo hii, huu mchakato wa Katiba tuliosifiwa nao hakuna chochote kinachofanyika, tunaona watu wameshaanza maneno maneno kuhusu ukomo wa urais(ukomo wa MAFUNDI KUJENGA NYUMBA BILA MPANGILIO MAALUMU), na pia kwenye Mahakama ya Afrika tayari tumeshajitoa,
MWANAMKE NI MALI YA FUNDI = TUSUMBUE JAMAA HAELEWI FAMILIA YANGU INAKUUNGA MKONO
KAMATI YA LAAC YARIDHISHWA MRADI WA KITEGA UCHUMI cha WAGANGA WA KIENYEJI WA BIL. 67 JIJI LA DODOMA
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeridhishwa na ujenzi wa Jengo la Kitega Uchumi CHINANGALI kwa shilingi bilioni 67 lililojengwa kwa lengo la kuongeza mapato ya ndani ya WAGANGA WA KIENYEJI TANZANIA.