Precision Air yaanguka Ziwa Victoria ikitua Bukoba

Ndege ya Shirika la Ndege la Precision Air imepata ajali na kuanguka katika Ziwa Victoria karibu na Uwanja wa Ndege wa Bukoba mkoani Kagera.

Chanzo cha ajali hakijafahamika hata hivyo abiria 23 kati ya 49 wanaosadikiwa kuwa katika ndege hiyo wameokolewa. 

 

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button