Putin afuta deni $23B Afrika

RAIS wa Urusi, Vladimir Putin amesema taifa hilo imefuta na kusamehe madeni ya mataifa ya Afrika yenye thamani ya Dola bilioni 23.
Putin amefuta madeni hayo kwa kauli yake aliyoitoa jana Julai 28, 2023 katika mkutano wa pili wa kilele wa Urusi na Afrika unaofanyika mjini Saint Petersburg nchini humo.
Putin alibainisha kuwa uhusiano wa Urusi kwa Afrika unazidi kukua, jambo ambalo linadhihirika katika mipango ya kuongeza uwepo wa kidiplomasia barani humo.
“Hii ni hatua ya kweli ya kuzidisha kazi kwa kiasi kikubwa na nchi za Afrika katika nyanja za kisiasa, biashara, kibinadamu, kiutamaduni na utalii.” alisisitiza.
Moscow pia inaunga mkono uwakilishi zaidi wa nchi za kiafrika katika Baraza la Usalama na miundo mingine ya Umoja wa Mataifa,” alisema.
“Jukumu la kisiasa na kiuchumi la Afrika linakua kwa kasi, bara linakuwa kituo kipya cha mamlaka, ambacho kila mtu atalazimika kuzingatia,” aliongeza.
Putin alitoa mfano wa mpango wa amani wa Afrika kwa Ukraine kama mfano wa kuongezeka kwa jukumu la kisiasa la bara hilo.
“Hii yenyewe inasema mengi, kwa sababu hapo awali misheni zozote za upatanishi zilihodhiwa pekee na nchi zilizo na kile kinachoitwa demokrasia iliyoendelea,” alisema Putin.
Presently You’ll gain Up To from 99000 Bucks A Month! There are no confinements, Be Your Claim Boss, it All depends on you And how much you want to earn each day. {vfa-254} This is often a veritable and ensured strategy for gratis to win a tremendous entirety of cash at domestic.
.
.
Tap THIS Interface_____ https://Fastinccome.blogspot.Com/
My most recent pay test was $9,500 for 12 hours of internet labor each week. For months, my friend has been averaging 15,000 and working roughly 20 hours each week. I couldn’t believe how simple it got once I tried it.
.
.
Detail Here———————————————————>>> http://Www.OnlineCash1.Com
Tanzania version 2024/25
(e) Mineral Beneficiation (i) Finalisation of SADC Regional Mining Vision to provide policy guidance in positioning the region as a global player in mining value chains;
(ii) Establish support programmes to facilitate cross border beneficiation;
(iii) Resuscitate Mining Ministers` forum for better engagement between public and private sector in the mining sector;
(iv)Develop a regional database on mining inputs and services; and
(v) Mining companies to support new SMEs and upstream market development.