Rais ampa 5 mtoto Goziberti

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akimpongeza mtoto Goziberti Bwele wa kikundi cha Ngoma za Asili cha Utandawazi Theater Group (Matwigachallo) kutoka Ukerewe kutokana na umahiri wake wa kupiga ngoma kwenye Tamasha la Utamaduni wa Kisukuma Bulabo

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button