Rais Samia ateta na Balozi EU

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo amefanya mazungumzo na Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini, Manfredo Fantl katika Ikulu ya Chamwino Dodoma.

Pichani>>Rais Samia akizungumza na Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini, Manfredo Fantl, Ikulu Chamwino leo 04 Julai, 2023.

Advertisement

Pichani>>Rais Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini, Manfredo Fantl mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Chamwino Dodoma leo Julai 04 2023.

1 comments

Comments are closed.