Rais Samia awapa maelekezo mabalozi

RAIS Samia Suluhu Hassan amewataka mablozi wateule kujifunza zaidi jinsi mataifa mengine yanavyofanya katika ukuaji wa uchumi wa mataifa yao, ili wahamishie ujuzi huo nchini, kwani kazi yao sio kufanya uwakilishi tu wa Tanzania katika mataifa hao.
Akizungumza mara baada ya uapisho wa mabalozi hao aliowateua, Rais Samia amesema wapo mabalozi ambao wanaonekana pale ambapo ujumbe wa Tanzania umekwenda kwenye nchi hiyo, anapokea wageni, anawasindikiza , au Watanzania wafanye ukorofi ndio utaona ripoti ya balozi, au unamuona siku za sherehe za kitaifa za nchi hiyo, lakini mengine hakuna, hakuna la maana linalotoka huko.
“Katika nchi nyingine mabalozi wetu sijui niseme hawajui wanachokifanya, wapo tu. Nilikutana na Rais mwenzangu ndani ya SADC akaniambia nimbadilishie balozi kwa kuwa aliyepo kazini haendi na mikutano hashiriki.
“Sasa nyinyi nataka mkafanye kazi, mtuambie wenzetu wamefanya uchawi gani kukua kiuchumi na sisi tunakosa nini, tuna rasilimali hatuzitumii? Au kitu gani, ila niseme wazi wenzetu wamepiga hatua kubwa sana licha ya kuwa sisi tumewazidi kwenye rasilimali, diplomasia ya uchumi ifanye kazi hapa, tujiulize tuliachwa wapi?”Amehoji.
Rais Samia ameiagiza Wizara ya Mambo ya Nje kuweka mfumo utakaoonesha kazi zote zinazofanywa na balozi za Tanzania katika mataifa mbalimbali, huku akihimiza matumizi ya TEHAMA katika kurahisisha na kuharakisha kazi.
Mabalozi walioapishwa leo na nchi wanazokwenda kwenye mabano ni Fatma Mohamed Rajabu kuwa Balozi wa Tanzania nchini Omani, Joseph Sokoine (Canada), Naimi Hamza Azizi (Austria).
Meja Jenerali Ramson Mwaisaka (Rwanda), Meja Richard Makanzo (Cairo Misri), Gelasius Byakanwa (Burundi), Habibu Awesi Mohamed (Qatar) na Mahadhi Juma Maalim (Kuala Lumpur, Malaysia).
Pia wapo Imani Njalikai (Algeria), Hassan Idd Mwamweta (Ujeruamani), Abdallah Saleh Posi (Geneva, Uswisi) Dk Mohamed Juma Abdallah (Saudi Arabia) na Jabir Mwadini (Ufaransa).
My first payment is $27,000. I’m thrilled since this is the first time I’ve truly earned stuff. From this point on, I’m going to work even harder, and I can’t wait till the next vs10 week to get paid. Click the home tab to find out more.
.
.
Using Here————————————>> https://fastinccome.blogspot.com/
WAZO JADIDIFU UKIONA WEKAZO HAWAFANYI KAZI KAMA RAIS WA TANZANIA (HAFANYI KAZI VIZURI KABISA) NA UNATAKIWA UPINDUE NCHI UTATUMIA CHOMBO GANI CHA HABARI… MAPINDUZI YA KIJESHI MATHARANI KUTAKUA NA RAIS AJAE KAMA MKAPA HUKO
· THE GUARDIAN,
· THE CITIZEN,
· MWANANCHI,
· DAILY NEWS,
· NIPASHE,
· TBC TAIFA,
· RFA,
· RADIO ONE,
· CLOUDS FM,
· TBC1,
· ITV, NA
· AZAM TV.
WAZO JADIDIFU UKIONA WEKAZO HAWAFANYI KAZI KAMA RAIS WA TANZANIA (HAFANYI KAZI VIZURI KABISA) NA UNATAKIWA UPINDUE NCHI UTATUMIA CHOMBO GANI CHA HABARI… MAPINDUZI YA KIJESHI MATHARANI
· THE GUARDIAN,
· THE CITIZEN,
· MWANANCHI,
· DAILY NEWS,
· NIPASHE,
· TBC TAIFA,
· RFA,
· RADIO ONE,
· CLOUDS FM,
· TBC1,
· ITV, NA
· AZAM TV.
huyu demu aliyecheza na diamond JEJE MZURI SANA ANAPATIKANA MKOA GANI ANATAFUTWA… TUMPE MAUA YAKE ANASTAHILI KUWA NA WAJUKUU 90… NAENDA KUJENGA HOTEL KWA SABAU YAKE
Matokeo yanaonesha ya Majengo+Mlinzi yanayotakiwa kusikimikwa viwanda/ viliyofunguliwa zamani ni 455,789 vinasubiri wawekezaji wapya kabisa kutoka labour
Matokeo yanaonesha kuwa, katika jumla ya viwanda vyote 49,243 (vikubwa na vidogo) vilivyohusika katika Sensa ya Uzalishaji Viwandani kwa mwaka 2013.