Rais Samia awasili KIA kuelekea Arusha

Rais Samia Suluhu amewasili uwanja wa ndege wa Kimataifa Kilimanjaro (KIA) akielekea mkoani Arusha kwenye kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kupambana na Rushwa barani Afrika.

Nchi wanachama wa Umoja wa Afrika zinadhimisha miaka 20 ya utekelezaji wa Mkataba wa Kuzuia na Kupambana na Rushwa (AUCPCC).

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button